David Mataka akutwa na kesi ya kujibu

David Mataka akutwa na kesi ya kujibu

Asante sana kwa ufafanuzi Mkuu,mie pia nilishangaa sana mtu kukutwa na hatia kabla ya hukumu!
 
Alikuwa anachezea fedha za PPF anavyotaka mwebyewe na alikuwa na nyodo za kutisha. Kampany yake nyingine ni yule shoga maarufu mwenye Baa ya kwa Macheni pale Magomeni Mapipa. Alimnunulia mpaka prado
Na bendi lake Beta la muzika,wale wanamuziki sijui km walipona.
Walikua na Mduara "Bana Beta"ukitandikwa ule hapakaliki.
 
Beta Muzika
Papi Kocha,Totoo ze bingwa,Jesus Ibonga Katumbi, na wengine kibao wamesahaulika
 
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.

tehe tehe
 
Umeeleweka chief

Ila huyo mataka atakuwa amekula pekee yake hizo hela hakutoa mgao!
 
Beta Muzika
Papi Kocha,Totoo ze bingwa,Jesus Ibonga Katumbi, na wengine kibao wamesahaulika

King Braise,Coco,Mangosteen,Chinyama.... Bila kumsahau Macheni 'stage show wa kushtukiza'
 
Hiyo sio kesi ya Mattaka peke yake. Kuna wengi wako nyuma. Only time will tell
 
Duu! Jf humu kuna kila kitu, mungu awabariki sana wana-jf wote mnaotuletea mambo adimu, yaani mi tangu nilipoanza kuchungulia humu ndani nimejifunza mambo mengi sana ambayo huwezi pata mahali popote zaidi ya jf, mpaka nijiona kama nami ni msomi kama akina mhongo,ingawa kwenye nyenye mifuko ya viroba nawaachie wenyewe
 
Milioni 300 au bilioni 300?

Hizo milioni 300 naona kama ndogo vile, nahisi huyo mtu alisababisha hasara zaidi ya hapo...
 
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.
Picha tafadhali.
 
Haahaaa, muosha huoshwa. Wakware wanamsubiri kwa hamu kubwa Segerea.

Ni tunawasubiri kwa udi na uvumba...... Mwambieni ajisafishe vizuri maana akija huku segadensa hatutampa Muda wa kupumua.
 
Duu! Jf humu kuna kila kitu, mungu awabariki sana wana-jf wote mnaotuletea mambo adimu, yaani mi tangu nilipoanza kuchungulia humu ndani nimejifunza mambo mengi sana ambayo huwezi pata mahali popote zaidi ya jf, mpaka nijiona kama nami ni msomi kama akina mhongo,ingawa kwenye nyenye mifuko ya viroba nawaachie wenyewe
Mifuko ya viroba?
Funguka zaidi tafadhali.
 
Back
Top Bottom