Hivi huyu Mattaka ana undugu na yule mwanamuziki wa DRC Defao?
Naskia Defao alitolewa mpaka utumbo kipind kile akashindwa kutokea kwny Tamasha!!
Hivi huyu Mattaka ana undugu na yule mwanamuziki wa DRC Defao?
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.
We binti, nimecheka sana!Adhabu itakuwa kifungo cha mwaka 1jela au kulipa fyn sh.laki 5
Ya kweli haya mkuu?Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.
We binti, nimecheka sana!
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.
sasa hukumu yake imekuwaje...??
ukizingatia jana kule nigeria rais wao
kachukua hatua ngumu sana kwa watu
wa namna ya huyo mkurugenzi.
Ipi ya ofisin au akiwashughulikia matikiti
Yeah, miaka mitatu jela, halafu wakapunguziwa adhabu..Vipi tena mkuu? si ndio sirikali yetu unakumbuka ya waheshimiwa mmoja wa Rombo mngine wa Gonja?
Ipi ya ofisin au akiwashughulikia matikiti