David Mataka akutwa na kesi ya kujibu

David Mataka akutwa na kesi ya kujibu

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,345
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania, David Mataka amekutwa na hatia ya kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Shilingi 300m.

Kesi yake ilikuwa ikinguruma leo kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, tarehe ya hukumu itapangwa.

Habari zaidi zinawajia..

================
Usahihi: David Mataka amekutwa na kesi ya kujibu, hakukutwa na hatia bado.

Jana, mkuu Mphamvu aliweka uzi kwenye Jukwaa la Habari na Hoja kuwa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) David Mataka amekutwa na hatia na hukumu itapangwa siku nyingine. Nikiwa na heshima kubwa kwa Mkuu Mphamvu na wengineo, naomba kuweka sahihi jambo hili katika mtazamo wa kisheria.

David Mataka na wenzake wanashtakiwa na Jamhuri kwa makosa ya kuisababishia hasara Serikali katika utekelezaji wa majukumu yao wakiwa ATCL.Kilichofanyika jana ni kutolewa kwa uamuzi mdogo ikiwa washtakiwa (Mataka na wenzake) wana kesi ya kujibu au la.

Hii hufuatia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mashahidi wa upande wa Jamhuri. Mashahidi zaidi ya kumi walipelekwa Mahakamani hapo na Jamhuri na kusikilizwa. Kimsingi, jana akina Mataka walisomewa uamuzi mdogo ambao uliwaona kuwa wana kesi ya kujibu na hivyo wanapaswa kuanza kujitetea.

Wasingekutwa na kesi ya kujibu jana, wangeachiwa huru. Kwa sheria na taratibu za kimahakama hapa Tanzania, siku ya hukumu ndiyo ya kukutwa na hatia na kuhukumiwa. Ndiyo kusema, hukumu hailali. Akina Mataka wataanza kujitetea chini ya kiapo kuanzia tarehe 10 na 11 Disemba mwaka huu.
 
sasa hukumu yake imekuwaje...??
ukizingatia jana kule nigeria rais wao
kachukua hatua ngumu sana kwa watu
wa namna ya huyo mkurugenzi.
 
Hivi huyu Mattaka ana undugu na yule mwanamuziki wa DRC Defao?
 
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.
 
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu David Mattaka alisumbua sana ile miaka ya kati ya 1995 na 2000. Aliweza kuwafanya kinyume na maumbile wanaume wawili ofsini kwake. Mmoja alikuwa dreva wa gari yake na mwingine Transport Officer. Hiyo ni mbali ya Defao na wadada kadhaa ?liowachana matako. Ngoja naye atumikie dhambi zake.

mmh maneno kuntu....
 
Alikuwa anachezea fedha za PPF anavyotaka mwebyewe na alikuwa na nyodo za kutisha. Kampany yake nyingine ni yule shoga maarufu mwenye Baa ya kwa Macheni pale Magomeni Mapipa. Alimnunulia mpaka prado
 
Naona watu wanagunguka makubwa. Mpaka yale yasiyohusiana na kesi yake.
 
Hongera sana Mataka kwa hili lililokufika ila since 90's ule usumbufu wako ndio umetupa kahasara kiduchu ivi aaaagghrrr wewe sio mpigaji kabisa.
 
Back
Top Bottom