Hawa ni vijana wa Mwigulu wanajaribu kupaka matope wagombea wenzake ili kufukia faulo anazocheza Mwigulu. Mkakati na mwenenfo wa Mwigulu katika siasa unamjengea maadui wengi nje nandani ya chama chake na sasa naona hata huko jimboni mwake. Ni mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa!Hiyo imekuwa fasheni ndani ya CCM. Naye atahojiwa na kuachiwa kama Mwigulu Nchemba na atamalizia kwa kuwapongeza TAKUKURU
Habari zilizotufikia hivi punde.
Aliyekuwa katibu wa wizara ya nishati na madini na baadae kufukuzwa kwa tuhuma za Ufisadi na kuhalamisha mchakato wa upitishaji wa Bajeti ya wizara ya Nishati na Madini Ndugu David kitundu Jairo anashikiliwa na TAKUKURU wilayani Iramba kwa tuhuma za kugawa Fedha wakati huu wa mchakato wa kura za Maoni.
Jairo ni mgombea wa Ubunge kati ya watu wa nne waliojitokeza akiwamo Amon,Mwigulu na Kilimba.Jairo anatuhumiwa kusambaza fedha tsh.30000 kwa kila balozi na makatibu wa Matawi ya CCM katika vijiji mbalimbali akiwamo Ujungu,Mtekente,Mtoa,Msai n.k
Ni takribani masaa 2 sasa anashikiliwa katika ofisi hizo za Takukuru wilayani Iramba,hatua za kumfikisha mahakamani kwa kujibu tuhuma hizo.
breaking news.usiku huu david kitundu jairo anashikiliwa na takukuru ofisi ya wilaya ya iramba kwa makosa ya kutoa rushwa. Ndg jairo ambaye ni mgombea ubunge anadaiwa kutoa 30,000 kwa viongozi wote wa kata 19 yaani watanowatano , ametoa 20,000 kwa viongozi watanowatano wa watawi 135 na anetoa 10,000 kwa mabaolozi zaidi ya 3900 wa jimbo zima. Upo ushahidi wa maandiahi wenye sahihi na mihuri ya makatibu kata wakikiri kupokea.mkuu jairo hana kosa wala hagawi rushwa, drama hii inakuja baada ya savimbi kususiwa na watia nia wenzake wote ikiwa ni pamoja na jairo kutokana na savimbi kugawa rushwa kama matogo, mpaka kupelekea vijana wa dr. Hosea kumuhoji kwa zaidi ya masaa manne.
Si unaujua umafia wa savimbi?....usishangae basi yaliyompata jairo!
breaking news.usiku huu david kitundu jairo anashikiliwa na takukuru ofisi ya wilaya ya iramba kwa makosa ya kutoa rushwa. Ndg jairo ambaye ni mgombea ubunge anadaiwa kutoa 30,000 kwa viongozi wote wa kata 19 yaani watanowatano , ametoa 20,000 kwa viongozi watanowatano wa watawi 135 na anetoa 10,000 kwa mabaolozi zaidi ya 3900 wa jimbo zima. Upo ushahidi wa maandiahi wenye sahihi na mihuri ya makatibu kata wakikiri kupokeambona kuna mahali nilisoma kuwa hao kina jairo & co wamejitoa kura za maoni na kumwachia mwigulu!!!
wala ! uko ndani ya muda mkuu , kwa ccm rushwa ni sehemu ya nyaraka za uchaguzi , halafu hii TAKUKURU ni nani anaiogopa ?Tangu lini rushwa imekuwa dhambi ccm?
Au mie ndio niko nyuma ya wakati!!
abee abeee nilikuwa naangalia ndondi ... RICARDO KAKA
breaking news.usiku huu david kitundu jairo anashikiliwa na takukuru ofisi ya wilaya ya iramba kwa makosa ya kutoa rushwa. Ndg jairo ambaye ni mgombea ubunge anadaiwa kutoa 30,000 kwa viongozi wote wa kata 19 yaani watanowatano , ametoa 20,000 kwa viongozi watanowatano wa watawi 135 na anetoa 10,000 kwa mabaolozi zaidi ya 3900 wa jimbo zima. Upo ushahidi wa maandiahi wenye sahihi na mihuri ya makatibu kata wakikiri kupokea