Baba Clara
Member
- May 10, 2011
- 94
- 27
Nimesikia katika uchambuzi wa magazeti ya leo startv kuwa Katibu Mkuu wa chama cha NCCR-mageuzi Samwel Ruhuza wamemsamehe Mbunge david Kafulila ili kuimarisha chama na kuepuka jimbo kupotea.
Chanzo: Magazeti ya leo asubuhi (Star tv)
Chanzo: Magazeti ya leo asubuhi (Star tv)