Imethibitika kuwa jimbo la Kigoma Kusini ambalo linaongozwa na mbunge David Kafulila ndio jimbo pekee Tanzania ambalo shule zake zote za sekondari zimefanikiwa kuwa na maabara(laboratory) tena zenye vifaa vya kujifunzia kwa vitendo,
Jimbo hilo lenye shule 17 zenye maabara kati ya shule hizo, shule 3 zina mfumo wa kisasa kabisa kama simu, fax, na kompyuta. Akizungumza jana na ITV katika kipindi cha dakika 45 kafulila aliongeza kwa kipindi chake kilichosalia anataka kuakikisha shule zilizobakia zinapata, simu fax, na kompyuta,
Hali hiyo imemfurahisha sana JK kwani ameona ni mbunge pekee alieonyesha kwa 100% kwa vitendo kampeni yake kuakikisha kila shule inakuwa na maabara za sayansi katika mashule ya sekondari hapa nchini