David Kafulila amfurahisha Kikwete

David Kafulila amfurahisha Kikwete

jambo jema, lakin hujasema ni wapi jk amedhrisha furaha yake, je alimpgia cm, au ikulu imetoa tamko? coz jk hayupo nchin
 
Good Tumbiri! kama kweli umetimiza hilo la maabara, sababu kila mwanasiasa akiwa nyuma ya kipaza anaongea anavyoweza. Lakini kwenye escrow :A S thumbs_down:. Mkuu zile fedha ni za IPTL, lakini majibu mazuri yatatoka kwenye ripoti ya CAG.
 
Mwambie Kafulila aache unafiki mm nipo Igalula hapa kuna LAGOSA SECO waalim 8 4m 1-4 Jengo la maabala hata halijurikani leo ni siku ya 14 tangu mawasiriano ya cm yarejeetoka mwaka jana.kunashure ya BUHINGU Nayo vilevile Kunashure kama ILAGALA,SIGUNGA, nazo nivilevile hayo mawasiriano yakopyuta kiaje wakat hata cm eneokubwa hakuna.

Kuna vijiji zaid ya 10 ktk eneo la mwambao wa ziwa tanganyika hamna mawasiliano ya cm na kuna shure huko kama vile Katumbi, storo, nkonkwa, kalilani, mgambo, Igalula, lukoma, mgambaz, kapala, herembe, sigunga, kalilani nk ambako Toka kafulila aingie bungeni kazuru huko mara 1 tu, tena tarafanitu.

sasa sijui anaongelea kwao Nguruka,Uvinza na Kazuramimba


Sijui wakati unaandika haya ulikuwa umekalia kitu chenye ncha kali?

CC FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
heri kama rais wetu kafurahi, maana nasikia tezi dume huwa linauma sana na halimpi mgonjwa wasaa wa kufurahi.
Asante Mh. Kafulila kwa kumpa hali hiyo rais wetu na tuendelee kumuombea apone haraka.
 
Siyo kazi ya mbunge kuchangia ujenzi. Chama cha mabusha ndio wabunge hawajui wajibu wao.

Kazi kubwa ya mbunge ni kuishauri na kuisimamia serikali kama kwenye hili la Escrow.

Matola,

Kwa mujibu wa katiba ya JMTz ya mwaka 1977. KAZI YA MBUNGE NI KUTETEA SERA NA ILANI ZA CHAMA CHAKE na sio kuwatetea wananchi.

Nilitaka tu kukupa angalizo mkulu.

 
jambo jema, lakin hujasema ni wapi jk amedhrisha furaha yake, je alimpgia cm, au ikulu imetoa tamko? coz jk hayupo nchin
mzee jk ni mtu wa maendereo sana vitu vingine vya wapinzani uvifulaiya sana ila awezi kuonyesha sababu za itikadi na yapo mengine makubwa ndani ya ccm ayapendi hata kusikia ila anavumilia si unajua itifaki inazingatiwa makulu
 
Matola,

Kwa mujibu wa katiba ya JMTz ya mwaka 1977. KAZI YA MBUNGE NI KUTETEA SERA NA ILANI ZA CHAMA CHAKE na sio kuwatetea wananchi.

Nilitaka tu kukupa angalizo mkulu.


Wazee wa tezidume
 
Good Tumbiri! kama kweli umetimiza hilo la maabara, sababu kila mwanasiasa akiwa nyuma ya kipaza anaongea anavyoweza. Lakini kwenye escrow :A S thumbs_down:. Mkuu zile fedha ni za IPTL, lakini majibu mazuri yatatoka kwenye ripoti ya CAG.

Kuona huoni hata kusikia husiki wala hustuki?

Kuna umma unaitwa IPTL?

CAG kasema ni za Umma yaani Tanesco
 
Mbona watanzania wabishi sana kila kitu nyie cha kubisha tu hivi ni lini mtakuja kubadirika maana mnabisha hadi kwenye maswala ya msingi kwanini?
 
wabunge wa magamba wakijenga hata tundu moja la choo hapa jf hapakaliki kwa kelele za vijana wa Lumumba bk 7 Fc!
 
Vipi kigor! ushavunj@ ung0 unatafuta b@sha sasa!

Acha mashauzi kujitia unajua na kutingisha watu!!!!!
Ukibanwa unaachia mashuzi ya vijineno vya shombo! !!
Unplanned offsprings mna shida sana tangu ujio wenu mpaka kuishi


Wewe unajua nini asichojua yeye au wengine juu ya mada husika??!!!!
 
Atwambie mchango wake kwenye huo ujenzi ni kiasi gani au shilingi ngapi.

Kwani kazi ya mbunge ni kuchangia fedha? kama ni hivyo Serikali inafanya nini wakati ndio inayokusanya kodi au kwa kuyafanya haya na kwa ujinga wa watanzania kutofuatilia mambo ndio mnatumia mwanya huu wa kuiba fedha za kodi zinazokusanywa ili mnunulie Vitenge, kanga, kofia na fulana za njano na kijani wakati wa chaguzi kuwarubuni wananchi.
 
Na jimbo la mtoto wake Jk au jimbo lake profesa wa china wametimiza %ngapi hizo maabara???
cc : MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
Mwambie Kafulila aache unafiki mm nipo Igalula hapa kuna LAGOSA SECO waalim 8 4m 1-4 Jengo la maabala hata halijurikani leo ni siku ya 14 tangu mawasiriano ya cm yarejeetoka mwaka jana.kunashure ya BUHINGU Nayo vilevile Kunashure kama ILAGALA,SIGUNGA, nazo nivilevile hayo mawasiriano yakopyuta kiaje wakat hata cm eneokubwa hakuna.

Kuna vijiji zaid ya 10 ktk eneo la mwambao wa ziwa tanganyika hamna mawasiliano ya cm na kuna shure huko kama vile Katumbi, storo, nkonkwa, kalilani, mgambo, Igalula, lukoma, mgambaz, kapala, herembe, sigunga, kalilani nk ambako Toka kafulila aingie bungeni kazuru huko mara 1 tu, tena tarafanitu.

sasa sijui anaongelea kwao Nguruka,Uvinza na Kazuramimba
Hongera mkuu, uandishi wako unasomeka vizuri sana hauitaji miwani.
 
agizo la kujenga maabara lilikuwa kwa wabunge au wakuu wa wilaya? kama ni hivyo awapongeze wakuu wa wilaya jimbono kwake!
 
Atwambie mchango wake kwenye huo ujenzi ni kiasi gani au shilingi ngapi.

wewe ubongo wako umeganda! mbunge kusimamia jambo likawezekana ni mchango tosha sana, wabunge wangapi wameshindwa kusimamia shule kuwa na maabara kwenye majimbo yao? nahisi malezi yako ni sawa na mtemvu anavyomlea sitti, ukiambiwa kafulila katoa 10M utasema hizo ni ndogo ukilinganisha na mshahara wake
 
Acha mashauzi kujitia unajua na kutingisha watu!!!!!
Ukibanwa unaachia mashuzi ya vijineno vya shombo! !!
Unplanned offsprings mna shida sana tangu ujio wenu mpaka kuishi


Wewe unajua nini asichojua yeye au wengine juu ya mada husika??!!!!
nimetoa tread watu wabadilishane mawazo sio matusi wakuu
 
Back
Top Bottom