David Jairo bado anatanua serikalini

David Jairo bado anatanua serikalini

Da! ungeenda kutoa ripoti polis ahojiwe kama alipewa lift au la
 
Jamani leo asubuhi nimekutana na David Jairo, kilichonishangaza ni kumkuta anatumia gari la serikali Landcruiser V8 wakati nilijua ametolewa serikalini moja moja. nimeshindwa kuelewa sasa anatumia gari yetu, mafuta yetu, dereva wetu sisi watanzania walipa kodi ambao alitusaliti, anatumia kwa misingi gani hivi kapewa cheo gani cha siri huko serikalini ambako sisi watanzania ambao tunatakiwa kumiliki hiyo serikali hatuna SAUTI hata kiduchu mpaka wakati wa uchaguzi ndo tunaambiwa serikali ni yetu si kama inamilikiwa na watu wachache wenye jeuri na kiburi na wanatufanya tuzidi kuwa maskini siku baada ya siku.
Alipewa 'lift'! Jamani hata hilo ni kosa?!
 
Utawala uliopo hauna woga wala aibu! Nchi na wananchi wote ni mali ya mafisadi, wanaobisha au kupinga watakutana na nguvu ya virungu vya polis au ikibidi watapewa mlo wa siku.
 
Jamani leo asubuhi nimekutana na David Jairo, kilichonishangaza ni kumkuta anatumia gari la serikali Landcruiser V8 wakati nilijua ametolewa serikalini moja moja. nimeshindwa kuelewa sasa anatumia gari yetu, mafuta yetu, dereva wetu sisi watanzania walipa kodi ambao alitusaliti, anatumia kwa misingi gani hivi kapewa cheo gani cha siri huko serikalini ambako sisi watanzania ambao tunatakiwa kumiliki hiyo serikali hatuna SAUTI hata kiduchu mpaka wakati wa uchaguzi ndo tunaambiwa serikali ni yetu si kama inamilikiwa na watu wachache wenye jeuri na kiburi na wanatufanya tuzidi kuwa maskini siku baada ya siku.
...............acha wivu wa kijinga ndugu;
 
Inasononesha sana lakini mwisho waja...MUNGU yupo ipo siku tutawaondoa wote kama tulivyofanya Arumeru Mashariki..
 
Jamani leo asubuhi nimekutana na David Jairo, kilichonishangaza ni kumkuta anatumia gari la serikali Landcruiser V8 wakati nilijua ametolewa serikalini moja moja. nimeshindwa kuelewa sasa anatumia gari yetu, mafuta yetu, dereva wetu sisi watanzania walipa kodi ambao alitusaliti, anatumia kwa misingi gani hivi kapewa cheo gani cha siri huko serikalini ambako sisi watanzania ambao tunatakiwa kumiliki hiyo serikali hatuna SAUTI hata kiduchu mpaka wakati wa uchaguzi ndo tunaambiwa serikali ni yetu si kama inamilikiwa na watu wachache wenye jeuri na kiburi na wanatufanya tuzidi kuwa maskini siku baada ya siku.

Leta namba ya gari
 
jamani watanzania mnakuwa kama washamba wa hii nchi yetu huyu jamaa muda si mrefu atapewa ubalozi wa kudumu uko umoja wa mataifaaa
 
Kaibe kuku ili ule na familia yako. Ndipo utajua kwa nini watu hawatengezi juice ya pilipili.

koh koh koh koh, aloo maandishi yako yanafanya nikohoe kwa kuwashwa koo-Juice ya pilipili! ni kiboko! koh koh koh koh!
 
Tatizo ni TISS iliyochini ya ccm
Tatizo siyo TISS pekee kumbuka kuna mkuu mmoja ambaye anaweza ku-overrule uamuzi au pendekezo lolote. hivyo basi naamini wakati mwingine TISS wanafanya kwa kuangalia mkuu anataka nini au nani?
 
utajiri wa Tanzania unatafunwa na familia chache sana zisizozidi 2000 kati ya umati wa watu karibu milioni 43. good thing ni kwamba kiama chao kimefika ndomana ckuizi wengi wao hawanunui viwanja bongo coz wanajua kimenuka
 
Back
Top Bottom