Historia itakuinua baba yangu Mwakawago.......uliyotuachia ni hazina! Upumzike kwa Amani!/QUOTE]
Historia ya wapi tena? Wakati wake umeshapita na ameshahukumiwa kama mmoja aliyeturithisha tume ya uchaguzi yenye kuipendelea CCM ambalo limekuwa janga la taifa. Mungu ailaze roho yake peponi lakini kwahabari ya historia hakuna sehemu atakumbukwa kwani wote hao wametufikisha hapa tulipo leo ambapo kwa mfumo walio ujenga mafisadi wameweza kututesa kuliko wakoloni weupe.
Ninyi inaonekana ni watani........ngoja tushike jembe tukalime.............Hii ni public forum mkuu,kwahiyo usitegemee ukaandika upupu wako hapa halafu tukakuacha tu ukawapotosha na wengine.
Kama yamekushinda ni bora ukaacha kuchangia Mkuu manake naona ndiko unakoelekea huku.Hoja huna umebaki kuandika matusi tu.Kubwa zima miaka karibu 50 lakini hovyo,busara sifuri.
Hiyo ya Mombasa naona una experience nayo nzuri manake waswahili wanasema msimulia mvua ujue imeshamnyea huyo..Mkuu ulishanyea watu huko Mombasa nini??
ooh kumbe familija yake ipo NY.............- Wakuu wa New York City na vitongoji vyake ni kwamba kuna tunaojitayarisha kwenda Boston this weekend kuwafariji na kulia na watoto wa marehemu ambao baadhi yao wapo kule na ndiko msiba hasa hapa US ulipo, sasa kwa wanaotaka kwenda tuwasiliane jamani,
- Na habari nilizozipata hapa mjini kutoka kwa Mwalimu, ni kwamba Balozi wetu hapa UN, naye atakwenda huko mwisho huu wa wiki kuwaona wafiwa na tarehe 6 mwezi ujao kutakuwa na kumkumbuka marehemu nyumbani kwa balozi, kuanzia saa Nane mchana.
Mungu amlaze pema marehemu na awafariji wafiwa.
Ahsante.
William.
Ok mkuu,taarifa gani zaidi?RIP Mwakawago poleni wanafamilia........juzi alitajwa dodoma kwenye NEC.........kuna taarifa zaidi.
Nafikiri mtu huyu alishafariki ...wadau kwa anaejua habari za mwanasiasa huyo yuko wapi kwa sasa.