Daudi Mwakawago afariki Dunia

Status
Not open for further replies.
 
Nachelea kusema watu wengine midomo yao inasumu kweli. Hebu angalia hapa chini alichokisema Lowassa jana wakati anajitetea kuhusu Richmond......

“Mwenyekiti nikukumbushe mwaka 1997 kule Zanzibar, kina Mzee Daudi Mwakawago walikuja na mafaili yakiwa na tuhuma dhidi ya mtizamo hasi wa jamii dhidi yako, kwa hiyo wakati ule kama si busara za kina Mzee Mkapa (Benjamin) leo usingekuwa hapo ulipo”.



R.I.P. Balozi Mwakawago!
 
RIP Mwakawago poleni wanafamilia........juzi alitajwa dodoma kwenye NEC.........kuna taarifa zaidi.
 
Ninyi inaonekana ni watani........ngoja tushike jembe tukalime.............
 
ooh kumbe familija yake ipo NY.............
 
Hivi hamjashtuka kwamba hii thread ilianzishwa February 25, 2010?
 
wadau kwa anaejua habari za mwanasiasa huyo yuko wapi kwa sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…