Dating sites: Siko Hapa Kudate

Ahaha ukakosa plan B ikabidi tuu iwe hivyo hivyo ,sema sometimes nyie mkiambiwa leo kuna tukio inakuwa wadogo na mnaanza kuchenga. Mfano huyo mtu wako angekuambia mapema, je ungeitikia wito?.
Kuna people zinasumbua sana hasa for first time, ukiwaambia mapema utapigwa chenga hadi uchanganyikiwe ndio maana mabaharia wanatumia mbinu za kijeshi walizojifunza kwenye art of the war za kumu attack enemy kwa kumshtukiza kama kuchomoa betri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka maana na mimi enzi za ujana nilishawahi kufanya hivi, ila yule hakuniambia tunaenda wapi nilishtukia tu tumefika eneo la tukio
Hujamaliza kusimulia..Ikawaje?
 
Uwa naona wote wanaotumia hizo dating sites ni malaya na mabazazi..
 
Kuna people zinasumbua sana hasa for first time, ukiwaambia mapema utapigwa chenga hadi uchanganyikiwe ndio maana mabaharia wanatumia mbinu za kijeshi walizojifunza kwenye art of the war za kumu attack enemy kwa kumshtukiza kama kuchomoa betri.

Anajikuta kaisha ingia kwenye box na kutoka lazima apigwe mashine
 
Hapana mkuu mimi ni gentleman sana, ikitokea tukafika huko na ukalalamika maadhura.. ohhh Ok!… straight away kwanza naomba unipe nafasi room kwangu, uondoke haraka, pili nakuwa tayari na plan B na plan C kichwani kabla ya kuchukua room hotel.
 
Extreme case: Huyu bibie anaitangaza Imani badoo.

Sijui mtu anakuwa anajichukulia wa juu kiasi gani kwenda kwenye dating sites na kujaza profile hivi.

Maybe ni reject in real life so anaamua kujifanya sizitaki mbichi hizi mtandaoni ili hata asipokubaliwa huko ajidanganye kuwa its because aliwazuia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…