Dating sites: Siko Hapa Kudate

nipm no. Yako ntakufundisha
 
Ila angekuambia akuonyeshe for free ungekubali na usingemuambia kuwa zimejaa online?
Sa' ningekataa si ningepata dhambi, au?! Kwanza kukataa ingekuwa ni kinyume cha mila zetu za Kiafrika, ambazo mtu akikupa kitu hutakiwi kukataa!
 
Kwa wabongo usikatae. Hata mimi nishawahi ona hili na kushangaa. Tena mwingine anandika kabisa kwenye profile kuwa hayupo kwa ajili ya kudate.
 
Inakera utie mtu nyege aingie gharama ..then ugome kutoa mchezo ahah lazima namna ifanyike kupoza machungu
Ila kweli huwa wanakera sana unagharamika nauli msosi, na allowance na ugwadu umepanda juu demu anaingia guest anaanza kuleta viswahili as if kaingia Shopping mall
 
Ila kweli huwa wanakera sana unagharamika nauli msosi, na allowance na ugwadu umepanda juu demu anaingia guest anaanza kuleta viswahili as if kaingia Shopping mall

Baharia huwa haturudi nyumaa juu ya hilo swala ..
 
Hata aibu huoni?
Sa' ningekataa si ningepata dhambi, au?! Kwanza kukataa ingekuwa ni kinyume cha mila zetu za Kiafrika, ambazo mtu akikupa kitu hutakiwi kukataa!
 
Aiseee ......badae ilikuwaje? Alionyesha ushirikiano?
 
Hawa mabinti mda mwingine,wanajipa sifa wasizostahiri na kuwaona wanaume mapoyoyo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…