Dates za siku hizi

I love Chikunde
Hahahahahaa Chikundee heheheheheee
Mmmmhhhhh Chikundeeee hahahahahaa

You love Chikundeeee while you complain about Chikundeeee
Chikundee bothers you... hehehehhee Chikundeeee hahahahahahahhaaaaaaaa

Kasieeee rahaaaaaaaa rahaaaaa

Rahaaaaaaaaaaa

Weeeh Chikundeeee u r loved Chikundee hehehehehee
 

Chikunde and Kasinde love me something fierce...
 
Chikunde and Kasinde love me something fierce...
Your mind is not fair to you........ it lies to you about Kasie for sure it lies and you better punish your mind......but for Chikundee Mmmmhhh Chikundee heheheheheheee may be her Chikundeeee hehehehehe something fierce here. ..... Chikundeeee hahahahahahahahaaaaaaaaa ukimaliza kujiselfie umtumie ..... umesikia Chikundeeee hahahahahhahaaa

Kasie
 
Zingine sio smart phone ni full sms mtu anaandika sms bila hata kutazama simu duh...... Hata majumbani kwetu wanajulikana ukitaka kuuliza kitu cha fasta ama unahitaji namba ya fulani wewe tuma sms kwa flani fasta anajibu mpaka tuvidole tumekomaa
Inaudhi saa zote... Busy na smart phone...
 
Kinachoboa zaidi ni mtu kucheka na simu yake
kwa sauti huku wewe hujui kinachomchekesha

yaani hizi dates za siku hizi shida tupu...

unaweza hata kumuacha mtu asijue umeondoka
yuko busy na simu yake
 
Reactions: kui
Niliomba date na mmoja wa humu jf sitokaa nisahau hiyo siku, nilitamani ningekuwa moderator nimpige ban ya kudumu, ndio maana mischana sikuizi inaishia kuchezewa tu maana maadili ni "zero"...tena ndo ukutane na mimi msukuma then uniletee vinyodo mshindo yaani hata kama nakupenda vipi hutoniona tena.
 
Huwa najitahidi sana niikimbie hii hali,
Yaani hata mi sipendii kabisaa unaongea na mtu kila unalomuuliza anakujibu tu "eheee... eheee...yah ndio ..ehee ni kweli"

macho na akili vyote viko kwenye kioo cha simu. Asee endelea kuwachana kila uonapo tabiaa hii.... ina kera saana. Mimi binafsi nimeacha kabisa kama nna maongezi na mtu siwezi kushika simu mkononi najua ni ushawishi, Sasa hivi ninafanya kuwanyoosha tu waliobaki na huu ujinga sio wa kike sio wakiume.
 
Zingine sio smart phone ni full sms mtu anaandika sms bila hata kutazama simu duh...... Hata majumbani kwetu wanajulikana ukitaka kuuliza kitu cha fasta ama unahitaji namba ya fulani wewe tuma sms kwa flani fasta anajibu mpaka tuvidole tumekomaa
Upo wewe bibie!!?
Tabutupu anakusalimia sana.....
 
Sisi Watu Weusi ni Washamba na Waigaji waigaji tu. Tunatumia teknolojia za watu vibaya kwa kujifanya wajuaji mpaka tunapoteza heshima ya miadi na mazungumzo kusudiwa.

Hiyo tabia wanayo zaidi wadada,na hasa wale waliofanikiwa kuhudhuria vyuoni ila hawajaelimika na kustaarabika.
 
Aah sasa mbona siku zote hizo hujasema? Nikuumize na nini tena?
Jamani...mambo haya kweli yanahitaji macho ya rohoni, eti hapa tu kuchelewa kureply nimeumia sa sipatii picha siku ya tukio nikusemeshe...kimya..mala.."ooh sorry my dear ulikuwa unasemaje kweli..nlikuwa najibu text ya chizi flani"....hahaha...utafurahi.
 
siku tukiweza kuliondoa hili tutakuwa katika usalama na hata dates zetu zitakuwa za kufurahisha na kutia hamu. mimi kuna siku nilimuacha mtu pale HONGERA BAR SINZA KWA UPUUZI HUO
 
siku tukiweza kuliondoa hili tutakuwa katika usalama na hata dates zetu zitakuwa za kufurahisha na kutia hamu. mimi kuna siku nilimuacha mtu pale HONGERA BAR SINZA KWA UPUUZI HUO

Nani huyo? Valentina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…