Kwa kweli ukikutana na addicts wa simu utakoma. Kila dk lazima ashike simu aangalie nani kapost, nini kinajadiliwa kwenye groups.Wengine wanakurecord unavyo rap mwenyewe hujui unazidisha 'macho yako mazuri' alafu inatupwa kwenye whatsup group.
Kwa kweli ukikutana na addicts wa simu utakoma. Kila dk lazima ashike simu aangalie nani kapost, nini kinajadiliwa kwenye groups.
Kifupi, watu wengi sasa wako addicted na simu, tusiwacheke sana watumia madawa.
Mtu ana magroup 10 daadeki bado chats za mtu mmoja mmoja, fesibuku na jf nazo zipo kwenye foleni..... Ha ha ha uwiii nicheke kama mazuriKwa kweli ukikutana na addicts wa simu utakoma. Kila dk lazima ashike simu aangalie nani kapost, nini kinajadiliwa kwenye groups.
Kifupi, watu wengi sasa wako addicted na simu, tusiwacheke sana watumia madawa.
Hapo kwenye nywila hapo. Utadhani kuna $$$ zimefichwa, kumbe ni upuuzi tu.Halafu hizo simu lazima ziwe na nywila.
Kwa kweli simu ni tatizo, hatulioni au tunanyamaza coz wengi wetu tayari ni waathirika..lol. 10grps, fb, jf, twitter, bila kusahau huko insta...nasikia insta ni balaaaaaa.Mtu ana magroup 10 daadeki bado chats za mtu mmoja mmoja, fesibuku na jf nazo zipo kwenye foleni..... Ha ha ha uwiii nicheke kama mazuri
Mi nshaboreka hadi nimeacha sasa, nikikaa na mtu naona yupo bize na simu na mie nashika yangu wote tunyamaze make ni ufalah, kuna maana gani kukutana na mtu afu ujikeep bize na simuKwa kweli simu ni tatizo, hatulioni au tunanyamaza coz wengi wetu tayari ni waathirika..lol. 10grps, fb, jf, twitter, bila kusahau huko insta...nasikia insta ni balaaaaaa.
Jumapili njema raia.
Sasa bana, neno la leo ni kuhusu miadi ya makutano ya watu wawili walio na raghba ya kuja kuweza kuwa wenza hapo baadaye.
Mkaka na mdada wanawasiliana kwenye simu. Wanapanga muda na sehemu ya kukutana ili waweze kujuana vizuri.
Siku ya siku inafika na kila mmoja wao anajiandaa vile awezavyo. Mara nyingine hao wawili huongozana na rafiki zao huko kwenye miadi. Nadhani wadada ndo hupenda zaidi kufanya hivyo, jambo ambalo mimi huliona ni la kishenzi.
Mimi na wewe ndo tumepanga tukutane. Wewe unaleta gurudumu la tatu la nini? Ni ushenzi tu.
Hata hivyo, hiyo si hoja yangu kwa leo. Nilikuwa nachomekea tu kama Anko Magu.
Basi bana...mnafika sehemu ya mkutano wenu...mnasalimiana. Kama ni vinywaji mnaagiza halafu mnaendelea na yenu.
Cha kustaajabisha sasa....unakuta kila mtu ana simu....iwe ki Tecno (sijui ndo inaandikwa hivyo), Samsung kuukuu, au ki iPhone cha ajabu ajabu ambacho pengineo ni cha bandia.
Baada ya maongezi kidogo unastukia kila mtu kajiinamia na kibyongo chake. Kila mtu kama si anachati kwenye magrupu ya Whatsapp basi yuko sijui Instagram huko au Snapchat.
Unakuta mtu yuko kwenye rundo la magrupu. Hapo alipo kwenye kideti chake lakini huko kwenye magrupu anatongozana na wengine.
Au unakuta mwingine yupo kwenye hicho kideti lakini yupo kwenye magrupu huko anagombana na wenzake.
Ambacho sikielewi sasa...kwa nini watu muende kwenye miadi yenu halafu badala ya kuongea na kujuana vizuri mnaishia kuchati kwenye magrupu ya Whatsapp?
bora hivyo kuliko kua kwenye mahojiano ya maswali na majibu khaaaaJumapili njema raia.
Sasa bana, neno la leo ni kuhusu miadi ya makutano ya watu wawili walio na raghba ya kuja kuweza kuwa wenza hapo baadaye.
Mkaka na mdada wanawasiliana kwenye simu. Wanapanga muda na sehemu ya kukutana ili waweze kujuana vizuri.
Siku ya siku inafika na kila mmoja wao anajiandaa vile awezavyo. Mara nyingine hao wawili huongozana na rafiki zao huko kwenye miadi. Nadhani wadada ndo hupenda zaidi kufanya hivyo, jambo ambalo mimi huliona ni la kishenzi.
Mimi na wewe ndo tumepanga tukutane. Wewe unaleta gurudumu la tatu la nini? Ni ushenzi tu.
Hata hivyo, hiyo si hoja yangu kwa leo. Nilikuwa nachomekea tu kama Anko Magu.
Basi bana...mnafika sehemu ya mkutano wenu...mnasalimiana. Kama ni vinywaji mnaagiza halafu mnaendelea na yenu.
Cha kustaajabisha sasa....unakuta kila mtu ana simu....iwe ki Tecno (sijui ndo inaandikwa hivyo), Samsung kuukuu, au ki iPhone cha ajabu ajabu ambacho pengineo ni cha bandia.
Baada ya maongezi kidogo unastukia kila mtu kajiinamia na kibyongo chake. Kila mtu kama si anachati kwenye magrupu ya Whatsapp basi yuko sijui Instagram huko au Snapchat.
Unakuta mtu yuko kwenye rundo la magrupu. Hapo alipo kwenye kideti chake lakini huko kwenye magrupu anatongozana na wengine.
Au unakuta mwingine yupo kwenye hicho kideti lakini yupo kwenye magrupu huko anagombana na wenzake.
Ambacho sikielewi sasa...kwa nini watu muende kwenye miadi yenu halafu badala ya kuongea na kujuana vizuri mnaishia kuchati kwenye magrupu ya Whatsapp?
Hili lishakua tatizo, mie nimelikubali halinipotezei kitu tena....
Married......Hivi wewe mdada hujaolewa bado..??? Serious Question!??
Thanx..... nina family... labda mchepuko. Serious reply.Married......
Serious answer!
Unatafuta mke?