MshikjiFlaniHivii
Senior Member
- Feb 12, 2020
- 117
- 339
Umenikumbusha Giriki enzi za Tawaqal84km/h? Kuna mabasi yanatembea 115km/h
Sasa mwendo wa speed wapi hapo ? Mbona kawaida ?Data za mwenendo wa basi la super feo lililo pata ajali leo asbuh kule hulia zimepatikana... Zinaonesha mama alikua mwendo kasi.. Na lilimshinda mbelenii alianza kukanyaga break za hatariii mara kwa mara.View attachment 2234766
Kwenye kona kali na miinuko kama huko songea, kwa hii spidi ni kukikaribisha kifo.84km/h? Kuna mabasi yanatembea 115km/h
Weka pichaYule dada ameumia vibaya sana aisee ,amekatika mkono wa kulia ,mkono umekatika kabisa haupo na sidhan kama ataendesha tena gari,Mungu ampe amuondoshee mazito yote wakati huu mgumu.
Mkuu,hivi hapo MOI hawaungi ?Yule dada ameumia vibaya sana aisee ,amekatika mkono wa kulia ,mkono umekatika kabisa haupo na sidhan kama ataendesha tena gari,Mungu ampe amuondoshee mazito yote wakati huu mgumu.
Mpaka waufikishe Moi utakuwa umeharibikaMkuu,hivi hapo MOI hawaungi ?
Mungu amtie nguvu Dada yetu mpambanaji.Yule dada ameumia vibaya sana aisee ,amekatika mkono wa kulia ,mkono umekatika kabisa haupo na sidhan kama ataendesha tena gari,Mungu ampe amuondoshee mazito yote wakati huu mgumu.
niliona twitter picha ya mkono, hakuna tena issue pale. umesagika mkono wote.Mkuu,hivi hapo MOI hawaungi ?
Nimetoka kuiona sahivi,kweli hakuna matumaini, mdada wa watu na alivo mzuri, hapo labda asomee urubani Sasa Mana ndege za siku hizi Zina oparate kwa joystickniliona twitter picha ya mkono, hakuna tena issue pale. umesagika mkono wote.
pole zao wote walioumia.
Gari mpaka inapata ajali alikuwa speed 11 na kwa mwendo wa bus huyu Dada Halima hakuwa ameover speed hajafika ata 85 KPH hapo bado alikuwa ndani ya sheria.
Hiyo gari ingekuwa speed kubwa kwanza usiongeona gari ikiwa namna hiyo.
Nampa pole sana Dada Halima na pia kwa jamaa wote walioshiriki kutoa msaada mara baada ya ajali hii.
Usiamini sana data za serikali ya ccmData za mwenendo wa basi la super feo lililo pata ajali leo asbuh kule hulia zimepatikana... Zinaonesha mama alikua mwendo kasi.. Na lilimshinda mbelenii alianza kukanyaga break za hatariii mara kwa mara.View attachment 2234766