Mkuu unatumia tecno c 7/8/9 ipi watumiaaWakuu salam kwenu,naulizia maana na kazi ya hichi kitu "data roaming".Naiona sana kwenye settings za simu
![]()
Nam nimekuelewaUnachohitaji kujua hasa ni "roaming". Roaming ni uwezo wa simu kutumia mirandao mingine wakati mtandao unaotumia haupatikani sehemu ulipo. Mfano umeweka laini ya tigo unaenda sehemu tigo hakuna network lakini airtel kuna network. Kama umeactivate roaming basi simu utatumia network ya airtel na utaendelea na mawasiliano kama kawaida yaani calls na sms ila gharama zinakuwa juu. Wakati mwingine simu inasoma airtel kwenye screen wakati umeweka laini ya tigo. Pia kupitia roaming hiyo hiyo ukiweza kuaccess internet hiyo ndio inaitwa "data roaming"
Umeeleza vyema zaidi.Unachohitaji kujua hasa ni "roaming". Roaming ni uwezo wa simu kutumia mirandao mingine wakati mtandao unaotumia haupatikani sehemu ulipo. Mfano umeweka laini ya tigo unaenda sehemu tigo hakuna network lakini airtel kuna network. Kama umeactivate roaming basi simu utatumia network ya airtel na utaendelea na mawasiliano kama kawaida yaani calls na sms ila gharama zinakuwa juu. Wakati mwingine simu inasoma airtel kwenye screen wakati umeweka laini ya tigo. Pia kupitia roaming hiyo hiyo ukiweza kuaccess internet hiyo ndio inaitwa "data roaming"
huko vizurUnachohitaji kujua hasa ni "roaming". Roaming ni uwezo wa simu kutumia mirandao mingine wakati mtandao unaotumia haupatikani sehemu ulipo. Mfano umeweka laini ya tigo unaenda sehemu tigo hakuna network lakini airtel kuna network. Kama umeactivate roaming basi simu utatumia network ya airtel na utaendelea na mawasiliano kama kawaida yaani calls na sms ila gharama zinakuwa juu. Wakati mwingine simu inasoma airtel kwenye screen wakati umeweka laini ya tigo. Pia kupitia roaming hiyo hiyo ukiweza kuaccess internet hiyo ndio inaitwa "data roaming"
Umeeleza vyema zaidi.
Thankshuko vizur
Barikiwa sana mkuu,nimekuelewa vyemaUnachohitaji kujua hasa ni "roaming". Roaming ni uwezo wa simu kutumia mirandao mingine wakati mtandao unaotumia haupatikani sehemu ulipo. Mfano umeweka laini ya tigo unaenda sehemu tigo hakuna network lakini airtel kuna network. Kama umeactivate roaming basi simu utatumia network ya airtel na utaendelea na mawasiliano kama kawaida yaani calls na sms ila gharama zinakuwa juu. Wakati mwingine simu inasoma airtel kwenye screen wakati umeweka laini ya tigo. Pia kupitia roaming hiyo hiyo ukiweza kuaccess internet hiyo ndio inaitwa "data roaming"