Data center Posta Kijitonyama tueleweshane zaidi kuhusu hii

Data center Posta Kijitonyama tueleweshane zaidi kuhusu hii

Hapo ni kwamba data center ni kama bima ya mtandao, inamaana tra leo ndio wamejiunga na hiyo huduma ya data center. Kwamaana nyingine tra wakiwa wanafanya shughuli zao maofisini mwao wakisevu data otumaticaly zinajisevu kwenye system zao na inaweka copy kwenye data center ikitokea kama ofisi meunguwa makomputa yameunguwa meaning mafaili yote yamepotea pale ofisini kwao then ndio unakwenda datacenter kuwaambia ofisi imeunguwa ila tunataka mafaili yetu then ttcl wana kuaplodia all folder to your new system baada ya kuwa mshanunuwa makomputa mapya na mshatengeneza ofisi mpya. I hope i have explain the point here.
Na Kingine kwamba dhumuni ya Data Center ni kwamba, katika kujua kwamba kampuni fulani inafanya Mauzo ya kiasi gani? Na inalipaje? Kodi itasaidia katika ukaguzi wa maesabu ya makampuni.
Yaani pale ndio AUDITING za makampuni zitakuwa zinafanywa, kwa kifupi makampuni mengi yatakimbia kwa sababu yanatoa taarifa za uongo sana,
 
Hapa naona luna vitu viwili viliongelewa kwa pamoja (Data Centre & e-RCS).
1.Data Centre kama alivyoeleza mdau hapo juu itatumiwa na taasisi za serikali na binafsi kwa kulipia gharama kwa kutumia huduma hiyo. ambayo unaweza kodi space na kupeleka vifaa vyako(servers etc) au ukakodi space ya kusimika mifumo yako pale (wewe kutumia server zao). wao watakacho uza kwako ni pamoja ulinzi, cooling, power, fire protection na mengine mengi. hii faida yake kwa serikali ni kupunguza gharama za kuwa na data centre kibao zilizo chini ya viwango(Kwani data centre zipo za level au tier mbalimbali). Na hapa watu upiga sana pesa.

2.e-RCS huu ni moja ya mifumi mingi ya taasisi za serikali utakao endeshwa kutokea humo, kwenye hiyo data centre. Huu mfumo utaunganishwa na taasisi zote zinazopekea malipo kama (TRA, Hospitali, bandari, halmashauri,tanesco, police, uhamiaji n.k)au kukusanya kwa niaba ya serikali kama (banks, aggregators etc.)

kwahiyo watu kama Maxcom hawataondoka sema watapunguziwa ugumu wa kufanya kazi badala ya kwenda kwa kila taasisi wataunga mfumo sehemu moja tu na kutoa huduma.

Asante.
 
Hapa ndo penye mchanganyano
 

Attachments

  • datacenter.PNG
    datacenter.PNG
    139.1 KB · Views: 46
Naona kuna upotoshaji ktk taarifa kuhusu data centre. Simply put, data centre ni backup ya data. Tena ni kitu ambacho huwezi kulazimisha private sector wakitumie maana na wao wana zao au wanaweza kujenga zao. Hata kama wakitunza data zao ktk hiyo centre, likely zitakuwa encrypted, hivyo serikali haiwezi kujua mapato halisi ya private sector kupitia data centre.
 
Huu ni moja ya mradi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia, habari na mawasiliano...
Hiyo data center inamilikiwa na TTCL, Ni sawa na wewe uwe na jengo la ghorofa alafu humo ndani unakaa wewe na wapangaji wako...
Data center ni sawa na jengo la Mlimani city kwa upande wa data. Mle ndani kuna wapangaji mbali mbali. So kwenye data center mfano kila kampuni ina data, mfano invoice za mauzo, taarifa za wateja n.k... Kwa hiyo badala ya kutengeneza sever yako kwa ajili ya kuhifadhia data base, unaweza kwenda pale TTCL wakakupangisha kwenye center yao...
Ila makampuni yanayo data center mbona
 
Nyie mnaonaga raha tu kusave mafaili yenu kwenye clouds, au mnaona raha kutumia gmail, yahoo mails n.k, Hao woote wanadata center kuubwa mfano wa hiyo ndipo wanapohifadhi information zoote mnlizonazo.

So TTCL wameanzisha ya kwao na ndio wanaomba watu wajiunge ili wawahifadhie data zao, espicially za miamala yao
 
Kuna kitu kimoja mkuu anakiitaji na soon kinafanyika...Mapato ya Tanzanja yakusanywe na Serikal si private sector kama max malipo..mda si mrefu mtalijua ili...mzee anaitaji Cashier wake Gavana na Muhasibu wake Wazir wa fedha wawe wanajua kila coin for any time t...siyo kusubil report ya third part..kama ilivyo kwa rwanda.
 
Kuna kitu kimoja mkuu anakiitaji na soon kinafanyika...Mapato ya Tanzanja yakusanywe na Serikal si private sector kama max malipo..mda si mrefu mtalijua ili...mzee anaitaji Cashier wake Gavana na Muhasibu wake Wazir wa fedha wawe wanajua kila coin for any time t...siyo kusubil report ya third part..kama ilivyo kwa rwanda.
Hili nalo Neno
 
Naona kuna upotoshaji ktk taarifa kuhusu data centre. Simply put, data centre ni backup ya data. Tena ni kitu ambacho huwezi kulazimisha private sector wakitumie maana na wao wana zao au wanaweza kujenga zao. Hata kama wakitunza data zao ktk hiyo centre, likely zitakuwa encrypted, hivyo serikali haiwezi kujua mapato halisi ya private sector kupitia data centre.

Hapana hauko sahihi kwa 100%. Labda ungesema data cetre ni kama "Server Room" yaweza kuwa binafsi, kukodisha na kupangisha.

Data Cetre ni biashara kabisa. Watu kama Vodacom, NMB, Business Connexion n.k wanatoa hizo huduma kwa wateja. na baadhi ya wateja ni production site kabisa. unakuta bank mfumo wake wa bank uko huko na wao na ku access tu.

Pia wengine kama ulivyosema wanakodi kama Disaster Recovery site au backup site zao.

kwa hiyo Data backup (storage as service) ni kama sehemu moja kati ya nyingi ya operations za data centre.



"Data center infrastructure management. Data center infrastructure management (DCIM) is the integration of information technology (IT) and facility management disciplines to centralize monitoring, management and intelligent capacity planning of a datacenter's critical systems"

2017-06-02-09-40-33--949900541.jpg
 
Mbona aliongelea zile data center ambazo zishajengwa mf. za BOT, TCRA na NIDA zitumike km Secondary...
Hapo labda issue ni capacity
Sure. Walau hilo. Ila kuna mengi zaidi kwenye utunzaji wa nyaraka kwa ajili ya wakati wa dharura. In fact hata si lazima zikae hapa Dar au tz.

Hivi unakumbuka kuungua kwa jengo la Nasaco? Kuna stori ilikua ni hujuma maana pale ilikua data centre (back up) ya benki fulani. Watu wakafanya yao kufuta taarifa za madeni.

Je kuhusu kodi una idea inafanyeje kaiz?
 
Kwa jinsi Magufuli alivyoongea alitoka nje kabisa ya maana ya data centre.
 
kuna wakati akiwa dodoma alisema mashirika ya simu dawa yao ipo jikoni nadhani ndio maana analazimisha yajiunge huko
 
Back
Top Bottom