Dashboard ya 3broadband connecting"Hakuna haja tena ya kuchakachua modem"

na kama ingekubali ningeshangaa mpaka basi. au hata ningekosa usingizi kwa mshangao. ile software ya 3 ni connection manager tu. kitu kimefungwa kwenye hardware. how come ikubali? ahsanteni WUN kwa kutoa feedback
 
Jama kwani mmeambiwa ni lazima kununua modem za Tigo tu?Mbona voda,zantel,wote wanauza modem zao 25,000/= na hazizingui!

modem ya zantel uichakachue utumie simcard gani nyengine ya cdma?
hiyo ya voda vipi nayo ni model gani na jee inaweza kuwa unlocked? please help
 
modem za Tigo kuichakachua ni raisi sana...will post an attachment soon kuwezesha mpango mzma..ila make sure your attempts are not more than ten..coz yo modem itakuwa locked n you wil need to update a firmware that makes the whole process complex..
 
modem za Tigo kuichakachua ni raisi sana...will post an attachment soon kuwezesha mpango mzma..ila make sure your attempts are not more than ten..coz yo modem itakuwa locked n you wil need to update a firmware that makes the whole process complex..
TUtasubiri mkuu...siyo usepe
 
nime install zote mbili zinafanana display na features kwa maana kwamba zote mbili ni kitu kimoja na zina soma huawei zte inagoma. kuna kitu nimekosea?
 
nime install zote mbili zinafanana display na features kwa maana kwamba zote mbili ni kitu kimoja na zina soma huawei zte inagoma. kuna kitu nimekosea?

haujakosea mkuu. hata mimi pia . zote mbili zinafanana mno. na zinakubali kwa huawei. kwa zte zinakataa. na hiyo picha iliyowekwa kama mfano wa zte haipo kabisa katika setup ya zte iliyowekwa hapo.
 
ila hizi modem za voda za k3570 hazijakuwa locked. zinakataa kutumia simcard nyengine kupitia ile original software tu basi. mimi ninatumia join air inakubali line zote.
search google join air. download . install. enjoy any line u want in k 3570
 
Unamaanisha nini mkuu? toa maelezo toshelezi kama kwa modem mpya za tigo imekubali kwa simcard zingine
asikudanganye mtu. hata kama atakwambia modem mpya za tigo zimekubali mjibu ''SIDANGANYIKI". modem za tigo zimekuwa locked kwenye firmware jambo ambalo haliwezekani kulikimbia kwa kutumia software.
modem zinazokubali ni hizi za voda ambazo hazijakuwa locked. just wamefanya dashboard yao isikubali line nyengine tu.
 
jmani nimejaribu kuinstant 3dashband lakini sijajua jinsi ya start ili ifanye connection, modem yangu ni ya voda
 
Back
Top Bottom