Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) UCHURO WA TAIFA: Tuzinduke. Nianze kwa kutoa salaam zangu za pole kwa familia ya hayati Job Ndugai. Pole kwa Ofisi nzima ya Bunge (Kupitia Katibu wa Bunge). Pole kwa Mh. Rais. Pole zaidi kwa taifa letu kutokana na msiba huu. Kuna kitu kisicho cha kawaida...