Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,175
- 1,740
Mkuu asante kwa kudadavua, mimi naomba kuuliza,Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.
Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.
Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.
Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).
Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.
Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.
Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.
Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.
Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.
Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).
Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).
Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.
Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.
Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.
Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).
Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.
Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.
Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.
Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.
Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.
Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).
Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
Mungu ni mwingi wa Rehema, Dar es Salaam ipo salama kwa Damu ya Yesu KristoWakazi wa Bandari salama, kimbieni haraka kabla haijawa Hali Tete zaidi.
Israel kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipiPalestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.
Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.
Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.
Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).
Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.
Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.
Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.
Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.
Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.
Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).
Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).
Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.
Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.
Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.
Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).
Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.
Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.
Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.
Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.
Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.
Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).
Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
DNA zilipimwa na wakagundua hao sio waisraeliIsrael kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipi
Wanasema wale ni wayahudi sababu dna zao zinafanana wenzako wanatumia dna wewe unatumia hisia
Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.
Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.
Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.
Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).
Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.
Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.
Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.
Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.
Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.
Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).
Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).
Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.
Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.
Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.
Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).
Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.
Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.
Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.
Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.
Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.
Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).
Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
Vipi kuhusu wachina, wahindi, wajapani n.k??? Tumepewa akili na maarifa tutumie vizuri na siyo kuendeshwa na mihemko, papara na hisia za kidini!Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!
Hujui lolote, katafute vitabu hivi MORAL AND DOGMA, ASHKEINAZI JEW.Israel kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipi
Wanasema wale ni wayahudi sababu dna zao zinafanana wenzako wanatumia dna wewe unatumia hisia
Inapendeza ukampa summary ili apate shauku ya kuvitafutaHujui lolote, katafute vitabu hivi MORAL AND DOGMA, ASHKEINAZI JEW.
Aende akasome mwenyewe, asipende kusomewa.Inapendeza ukampa summary ili apate shauku ya kuvitafuta
Nyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilazaDah hv huyo kijana WA Mr . New culture ambaye alimchallenge Sana Mr. New culture lkn Nia yake ikaishia kwenye graveyard NI Nani huyo?
Hata wewe umekosea boss!! Kijana wa new culture aliyemchallenge na akaishia kwenye graveyard ni mtu wa Musoma maarufu kwa CWNyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilaza
Atoke km humu JF hasa huku intelligenceNyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilaza
Hadi desemba 2025 ndio Uzi on!!