jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,480
- 11,492
Aomba link mkuuNimeenda kusoma ule utabiri wa Tumainiel ,
Kumbe kuna yajayo yatakayo furahisha!
N
Aomba link mkuu
Disclose analysis, inaezekana wametafuta namna yakumuondoa huyu mama uchaguzi 2025 wakaona wamseti somewhere apoteze trust kwa chama na wananchi. Wame win 100%
Sasa ni wakati wa Mungu kuchagua kiongozi na sio mwanadamu...Ndiye ajaye, ataletwa na dhoruba ya Bahari, njaa na Kila aina ya majanga yajayo!!
Hongera sana mkuu Rabbon hakika una maono pia si ya polepole.Tuunge dot slowly tutajua tu.
Bt amesema humo kuwa Junior atakuja geukwa na Watatu ambapo hatokuwepo wa kumsaidia.
Nahisi dude la Desert mission linaenda pia kumaliza utawala wa Junior Ili mfumo mpya wa utawala uanze!!
Yaani kuna watu wawili, Mwl Mwakasege na TumainiEl, Mwl Mwakasege yeye alisema litatokea jambo ambalo litapingwa na pande zote yaani halijulikani kama ni zuri au baya ila litapigwa kwa mazuri yake na mabaya yake ila hapana suluhisho alisisitiza watu wasali. Tumaini yeye alisema kuna jambo kubwa mwezi wa nane laenda kutokea.N
Aomba link mkuu
Ni Kweli, bt mwandishi asema junior aliondoshwa Kwa njia isokuwa ya Amani,Hongera sana mkuu Rabbon hakika una maono pia si ya polepole.
Kuna sehemu niliwahi ku comment kuwa vipepeo weusi wanapaswa kufanya vetting kupitia upande wa akina mr new culture maana tuendako CEO wa kampuni anaweza kutokea popote. Bt ameipitisha kubaya sana hii kampuni wasimtolee uhai ila wamuondolee mamlaka ili kampuni isonge mbele.
Hii kampuni ina kila kitu lakini wapuuzi wachache tu wananufaika nayo. Naamini Mungu ni mwema atatuvusha salama.
Haya ni mastor tukisubiri yoga ashushe simulizi, maana kumepoa sana.haya wew mwenye akil leta uzi wako.
Hizi zingine nazo ni blah blah.
Nimekuwa nikiusoma huu uzi kimya kimya ..na nimesoma comments zako zote pamoja na TumainiEl mlichokuwa mnakisema ndicho ninachokiona sasa lakini kwenye huu uzi watu waliwashambulia sanaaaa 😌😌hakika Mungu aingilie kati hii Tanzania.Wakazi wote waishio mji uitwao Bandari salama mmepata neema ya kujiandaa na kujiokoa na yajayo.
Litatokea tetemeko kubwa zaidi ya lililotokea Turkeyo, maji ya Bahari yatatikiswa Nchi kavu itapasuliwa na Kutokea shimo kubwa, maji yatafunika mji wote, haitasalia nyumba juu ya ardhi iliyo salama.
Wana wa Mungu wamepewa majira ya Kutokea dhahama hiyo Ili wajiandae kuhama.
Majira ni:
Tarehe (1-20).
Mwezi: APRIL -May
Mwaka: 2024.
Safety zone: Kuanzia KIBAHA, jumba la ndege.
Source: Tembelea UNYAKUO TV channel Kwa maelekezo zaidi.
NB; Wajinga watachukua hatua maana Bado muda upo, ila werevu, wajuaji, wasioamini, viburi watasubiri yatokee.
Mungu ibariki Nyikani.
AMEN.
Mkuu naomba jina la huyo nabii nimfuatilie huko YouTubeNina mashaka na huyo anayejiita nabii, kama ameonyeshwa na Mungu kuwa Dar Es salaam inaenda kuadhibiwa, yeye kama nabii wajibu wake ni upi?
Nabii Yona aliambiwa na Mungu kuwa mji wa Ninawi Mungu atatoa hukumu juu yake,
Kabla ya hiyo hukumu kutolewa, Mungu alimtuma Mtumishi wake Yona aende Ninawi akawahubirie waakazi juu ya mpango wa Mungu, pamoja na ugumu wa Yona awali,
baada ya shinikizo la Mungu, Yona alienda kuhubiri, na aliuzunguka mji wote kuuelezea wasipotubu nini kitatokea,
Hakuwaambia uzeni mali zenu kisha hameni Ninawi, nendeni mjini mwingine, hakufanya hivyo,
Lkn huyu anawaambia watu wauze nyumba zao, gari na mali zao kisha wahamie kuanzia kibaha,
Je ana viwanja vingi kule anataka apige hela?
Au mawakala wa kuuza viwanja wanamtumia?
Je yeye na Kibwetere au Makezi wa Kenya wanatofauti ipi?
shida mnasoma biblia mkiwa na mawazo na matamanio yenu.....Revelation au ufunuo,
NYIKANI ndiyo Misri ya rohoni, Nyikani ndiyo Nyikani alipokimbilia mwanamke ktk ufunuo 12:6,
Fuatilia tafsiri ya Bandari salama, na Nyikani ikitokea wao utajua ni code unlocked.
mipaka ya Edeni ukisoma ni Iran/Iraq (somewhere eneo hilo), kwa sababu ile mito minne iko huko!On Tanzania kuwa sehemu takatifu naweza kukubalia. Sababu ukisoma vizuri e mipaka ya eden kutoka kwenye kitabu cha jubilee utaona Eden ilikuwa East Africa Nile ilipoanzia. Ndo maana Wazungu walibadili majina sehemu nyingi sana Africa ili kuficha hizo sehemu.
Plus east Africa zamani ilikuwa inaitwa AZANIA. Ambalo ni Hebrew name. Na TZ ndio pekee tumebaki na hili Jina.
Na Ile miaka 1000 ambayo atatawala Mkuu duniani inaonyesha kabisa ni Sub saharan Africa to be exact.
But kwenye adhabu hapo ya matetemeko kwa Dar es Salaam ndo bado sijakupata. Why God should punish us for what?
Au labda sababu machief wetu waliuza watu wake Utumwani??.
But hata west African chiefs waliuza pia.
Wazungu na waarabu wakawaua na kuwafanyisha kazi ngumu for years. Ingawa ilitabiriwa itakuwa hivyo kwenye kumb LA torati 28.
But nimeona museveni juzi anaomba msamaha kwa jinsi tulivyousika and nadhani kikwete nae aliomba pia. Au haijatosha? Nipe nyama kidogo
Bibilia haijasema kama chanzo cha moto minne kilikua kimoja, duniani nchi pekee ambayo imezumgukwa na moto minne ni Tanzania peke yake. Mto Ruvuma, Mto Pangani/Wami, Mto Rufiji na Mto Kagera na Malagarasi.mipaka ya Edeni ukisoma ni Iran/Iraq (somewhere eneo hilo), kwa sababu ile mito minne iko huko!
kumbuka baadhi ya mito ilifukiwa na gharika, so probability kubwa ni huko maana afrika hakuna eneo lenye uwezekano wa kuwa na mito 4 yenye chanzo kutoka eneo moja!
gharika sio kitu cha kufikirika mkuu, ilitokea kweli na swali la wanyama walikula nini mimi sijui as sikuwepo ndani ya Safina!Bibilia haijasema kama chanzo cha moto minne kilikua kimoja, duniani nchi pekee ambayo imezumgukwa na moto minne ni Tanzania peke yake. Mto Ruvuma, Mto Pangani/Wami, Mto Rufiji na Mto Kagera na Malagarasi.
Usije na nadhalia ya kwamba mito ilipotoe kutokana na gharika la Nuhu, wakati ghalika ni kitu cha kufikirika tu, ukisema kipo nambie wanyama walikula nini kwa siku zote walizoa ndani ya safina?
Sent from my iPlay_20P using JamiiForums mobile app
Nimesikia Mara nyingi hasa kwenye haya masomo ya Msimu Mpya...Mfumo mpya,. Ila Tumainiel sijamsikia sana kama unaweza kunifafanulia alisemea wapi na mimi nikajifunze zaidYaani kuna watu wawili, Mwl Mwakasege na TumainiEl, Mwl Mwakasege yeye alisema litatokea jambo ambalo litapingwa na pande zote yaani halijulikani kama ni zuri au baya ila litapigwa kwa mazuri yake na mabaya yake ila hapana suluhisho alisisitiza watu wasali. Tumaini yeye alisema kuna jambo kubwa mwezi wa nane laenda kutokea.