Dark days 17/03/20

Ni muota ndoto...

Anayemtumaini YESU na ndio aliyempa ndoto....

Nikaota watu wengine wakiwafukuza hao waliokuwa wanaiongoza eneo hilo kwa muda mrefu wakawa wanakimbia, nikaona watu wakiwaficha hao waliokuwa wakiongoza ktk mapango na sehemu za kulala wageni...


Nilipoamka nikajiuliza ni wakinanani hao wanaofukuza watu walioongoza kwa muda mrefu?

Na ni kina nani wanaowaficha hao walioongoza kwa muda mrefu?


Bado namuomba Yesu anifunulie zaidi
 
2024/2025 Kuna mambo!!
 
naomba link huko mkuu
 
Hamtaki ziwe exposed so lazima mine kupinga.

Lkn huyu mpeta mada kafanya kuongezea nyama. Kikichotokea KWA jiwe kilijulikana ni Nini kilifanyika.

Usidhani watz Ni wajinga kiasi we unafikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…