Dark days 17/03/20

Hatareeeeh sana.
 
Wee sikuinyaka hio masikini amepoa mnoo!!
Kheeeeh we huyu new CEO siku ya kwanza kuhutubia wafuasi wake, baada ya Sabufa ya mwanzo kuharibika ile masafa ya kanda ya kati, hukusikia povu na mipasho aliotoa?

Mbna aliwapasha live watu, hakuwaonea hata aibu, na wengine akawachana live waendelee na mission zao za 2025, wakutane wakati wa vikaratasi na masanduku.

Mweeeeeh pambe tyuuh.
 
Mkuu we ulitaka ajimilikishe vip wakati kila siku Jamaa anachota madini
 
le madame nae hajambo kumbe!!! Mungu amtie nguvu mama kwakweli !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…