darasani

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Feb 21, 2011
563
98
Mwalimu: Maandazi sita ukitoa mawili hubaki mangapi?
Mwanafunzi: Ukinipa na mchuzi hakibaki kitu.
 
yale yaleee!
MWALIMU:Kiazi kimoja ukikata kati unapata nini?
MWANAFUNZI: Nusu mbili
MWALIMU:Ukikata tena?
MWANAFUNZI: Unapata robo
MWALIMU: Ukikatakata tena?
MWANAFUNZI:Unapata chipsi!
 
Yaleyaleeeeeeeee...
Mwalimu:Kati ya jua na mwezi kipi muhimu?
Mwanafunzi:Mwezi mwalim!
Mwalim:Kwa nini?
Mwanafunzi:Mwezi unamulika usiku kwenye giza,na wakati jua linamulika mchana wakati kuna mwanga tayari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…