Mkwaruzo JF-Expert Member Feb 21, 2011 563 98 Dec 28, 2011 #1 Mwalimu: Maandazi sita ukitoa mawili hubaki mangapi? Mwanafunzi: Ukinipa na mchuzi hakibaki kitu.
Lucas JF-Expert Member Dec 3, 2011 2,457 1,108 Dec 28, 2011 #3 yale yaleee! MWALIMU:Kiazi kimoja ukikata kati unapata nini? MWANAFUNZI: Nusu mbili MWALIMU:Ukikata tena? MWANAFUNZI: Unapata robo MWALIMU: Ukikatakata tena? MWANAFUNZI:Unapata chipsi!
yale yaleee! MWALIMU:Kiazi kimoja ukikata kati unapata nini? MWANAFUNZI: Nusu mbili MWALIMU:Ukikata tena? MWANAFUNZI: Unapata robo MWALIMU: Ukikatakata tena? MWANAFUNZI:Unapata chipsi!
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Dec 28, 2011 #4 Yaleyaleeeeeeeee... Mwalimu:Kati ya jua na mwezi kipi muhimu? Mwanafunzi:Mwezi mwalim! Mwalim:Kwa nini? Mwanafunzi:Mwezi unamulika usiku kwenye giza,na wakati jua linamulika mchana wakati kuna mwanga tayari!
Yaleyaleeeeeeeee... Mwalimu:Kati ya jua na mwezi kipi muhimu? Mwanafunzi:Mwezi mwalim! Mwalim:Kwa nini? Mwanafunzi:Mwezi unamulika usiku kwenye giza,na wakati jua linamulika mchana wakati kuna mwanga tayari!