Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 441
Hosting (kwa kiswahili) ni mfano wa flash! Kwenye mtandao ni sehemu ya ambayo data zako zote huhifadhiwa,kama images,videos, files nk.
Ni kama flash yako inavyohifadhi vitu ,na flash huwa na ukubwa (space) wa kuweka vitu kwa kiasi flani mfano 8GB,16GB, 32GB nk.
Ukihost website utapewa (space) i.e 1GB,2GB,10GB ambayo itakusaidia wewe kuwa na data nyingi kwenye mtandao wako. i.e blog,forum,website etc
Sasa kwa hapa Tanzania watu wengi wana blog lakini hawana hosting kwasababu ya Gharama kubwa na kupewa space ndogo.
Suluhisho lipo: Sasa hutaweza kupata hosting ambayo ni unlimited space (hamna ukomo) kwa website yako,blog nk. Kwa bei cheeeee, rudia tena bei chee.
Themes
Ni muonekano wa nje wa website (appearance) kama ukiingia JamiiForums, Millard Ayo, Facebook, Instagram utaona hazifanani kwa muonekano.
Sasa unaweza kugundua website/blog/forum ina muonekano mbayaaaaaa kwasababu hujanunua theme nzuri/hujapata wataalamu.
Sasa ukitaka exactly design like JamiiForums, Millard Ayo, Muungwana blog, Eposite, Tuzungumze Forums, Twitter nk ni lazima ulipe kiasi kikubwa cha pesa to buy these themes.
But today I will teach how to customize your website professionally, and it's easy just drug& drops.
No skills, knowledge or code required! As I said earlier it's just drug and drop.
Huduma za hosting & themes nazitoa kwa bei chee, kuja DM nikuonyeshe kazi zaidi ya 100 nilizofanya au piga 0753093869.
Sasa unaweza uliza maswali hapa chini kuhusu (website/blog/forums) kama hosting nk nami nitajibu kwa haraka na bure.
Asante watu wote kwa kusoma ujumbe huu.
Ni kama flash yako inavyohifadhi vitu ,na flash huwa na ukubwa (space) wa kuweka vitu kwa kiasi flani mfano 8GB,16GB, 32GB nk.
Ukihost website utapewa (space) i.e 1GB,2GB,10GB ambayo itakusaidia wewe kuwa na data nyingi kwenye mtandao wako. i.e blog,forum,website etc
Sasa kwa hapa Tanzania watu wengi wana blog lakini hawana hosting kwasababu ya Gharama kubwa na kupewa space ndogo.
Suluhisho lipo: Sasa hutaweza kupata hosting ambayo ni unlimited space (hamna ukomo) kwa website yako,blog nk. Kwa bei cheeeee, rudia tena bei chee.
Themes
Ni muonekano wa nje wa website (appearance) kama ukiingia JamiiForums, Millard Ayo, Facebook, Instagram utaona hazifanani kwa muonekano.
Sasa unaweza kugundua website/blog/forum ina muonekano mbayaaaaaa kwasababu hujanunua theme nzuri/hujapata wataalamu.
Sasa ukitaka exactly design like JamiiForums, Millard Ayo, Muungwana blog, Eposite, Tuzungumze Forums, Twitter nk ni lazima ulipe kiasi kikubwa cha pesa to buy these themes.
But today I will teach how to customize your website professionally, and it's easy just drug& drops.
No skills, knowledge or code required! As I said earlier it's just drug and drop.
Huduma za hosting & themes nazitoa kwa bei chee, kuja DM nikuonyeshe kazi zaidi ya 100 nilizofanya au piga 0753093869.
Sasa unaweza uliza maswali hapa chini kuhusu (website/blog/forums) kama hosting nk nami nitajibu kwa haraka na bure.
Asante watu wote kwa kusoma ujumbe huu.