Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced)

Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced)

Kwenye konboot pia Kuna feature inaitwa passwordless login. Ukichgua hiyo feature utaweza kuingia kwenye computer yenye password bila kutumia password yyt.
Ila ukizima na kuwasha tena ndio itadai. Unatumia hyo feature km hutak kubadili password
Mkuu samahani, kupitia hiyo naweza kuondoa hiyo Administration password au kuinstall apps pasipo kuweka hiyo Administration password?
 
Mkuu samahani, kupitia hiyo naweza kuondoa hiyo Administration password au kuinstall apps pasipo kuweka hiyo Administration password?
Labda niulize, naamin una account kwenye hyo PC, how do u access ur account on that PC? Hebu toa mfano wa jina lolote kwa namna ya unavoingiza jina lako kwenye hyo PC. Not a real name ,just any name
 
Labda niulize, naamin una account kwenye hyo PC, how do u access ur account on that PC? Hebu toa mfano wa jina lolote kwa namna ya unavoingiza jina lako kwenye hyo PC. Not a real name ,just any name
Mkuu, natumia jina hilihili Iglesias, naweka password yangu nalog in, ila ikifka lile eneo la kuweka password kuna Account mbili, ya Iglesias na administration.

Nalog in kwa Account ya Iglesias.
 
Mkuu, natumia jina hilihili Iglesias, naweka password yangu nalog in, ila ikifka lile eneo la kuweka password kuna Account mbili, ya Iglesias na administration.

Nalog in kwa Account ya Iglesias.
Je kwa kutumia hiyo account yako (username and password) je unaweza kulogin kwenye computer nyngne yoyote ofisin kwenu (tofaut na hiyo unayotumia sasa) na ikakubal kifunguka.?
 
Mkuu, natumia jina hilihili Iglesias, naweka password yangu nalog in, ila ikifka lile eneo la kuweka password kuna Account mbili, ya Iglesias na administration.

Nalog in kwa Account ya Iglesias.
So hapo issues ni kwamba wewe una access hiyo Pc kama Guest Sio Admin,
Mimi huwa natumia PCunlocker Kuiondoa Admin Password, Kuna Mdau Hapo Juu Katoa Kitu Kipya Pia Kuna Program Inaitwa Konboot ni Freeware, Unaweza Kuzitafuta Hizo Uka Folloow Steps Ukatoa Hiyo Admin Na Ku Gain Access Ya PC Hiyo, Always Kumbuka Apps Hizi Zote Zinafanya Kazi Kama DOS Means Lazima Uzitumie In Booting Mode Kama Unavyokuwa Una Install Windows, So Tafuta Flash Na Tumia Rufus Kufanikisha Hili.

Asante.
 
Je kwa kutumia hiyo account yako (username and password) je unaweza kulogin kwenye computer nyngne yoyote ofisin kwenu (tofaut na hiyo unayotumia sasa) na ikakubal kifunguka.?
Hii pc ninayo nyumbani mkuu, nimeshahama huko ofisini.
 
Back
Top Bottom