Mtwara Smart
JF-Expert Member
- Jun 6, 2019
- 666
- 1,480
- Thread starter
- #61
Kwa Lugha Rahisi Hii Ni Teknolojia Ambayo Laptop Yako Kufanya Kazi Vizur Kwa Baadhi Ya Apps Especially Games Na Emulator.Asante kwa uzi mzuri mkuu,
Pia samahani mkuu, unaweza kuelezea japo kwa kifupi
Hapo kwenye "virtual technology".
Inshort Kuna Apps Ili Zirun Inabidi Kuwe Na True Underlying Layer Kati Ya Hardware Na Software, Kazi Kubwa Yake, Ni Kufanya Emulation Ya Hardware. (Kuongeza Umilki Na Nguvu Yake Kwenye Kupewa Priority Katika Hardware)