Daraja Msisi Singida lakatika

Daraja Msisi Singida lakatika

Luushu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
891
Reaction score
537
Daraja la msisi mkaa limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi mkoani singida.Kufuatia uharibifu huo magari yote yanapita ndago kazi kwako Magufuli
 
Daraja la msisi mkaa limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi mkoani singida.Kufuatia uharibifu huo magari yote yanapita ndago kazi kwako Magufuli

Mkuu wengine tuna safari ya kwenda Singida, hilo Daraja linaunganisha Ndago na wapi? Ni barabara ya kwenda Mwanza au ni za huko huko Singida?
 
nijuavyo msisi iko kama kilometa 20 kutoka Singida mjini kama unaelekea Igunga, na mikoa mingine ya kanda ya ziwa! Hivyo njia ya Ndago ambayo inatokezea maeneo jirani na misigiri iko kabla ya daraja hilo.......
 
Taarifa za kuaminika, zinathibitisha kuwa daraja kubwa lililopo kijiji cha Msisi, Wilaya ya Singida vijijini limezolewa na maji jana usiku, hivyo safari kati ya Mikoa ya kanda ya Ziwa kuja Mikoa ya Kati na Kanda ya mashariki kuwa ya shida.

Wana JF ambao ndugu zenu wamesafiri wapeni ushirikiano wasafiri hao na serikali ielekeze nguvu kubwa kunusuru hali hiyo maana hilo ni daraja muhimu.

Magufuli haitoshi tu kumwambia mkandarasi arudie ujenzi wa barabara sekenke ila ilijengwa chini ya kiwango
 
Hata mimi nipo hapa ni kweli kabisa daraja limekatika so hakuna gari lolote linaloweza kupita.
 
nipo iramba jimboni kwa bwana chemba, kuna gari nisani nyeusi imezolewa na maji usiku wa alfajiri hii likiwa na watu watatu , raia mmoja wa kichina(kevin)amekutwa amekufa maji huku abiria wa kike ambae anaitwa Marry(mnyiramba) akiwa hajapatikana hadi sasa

Hayo yakiwa yamejiri jimboni kwa bwana chemba,mbunge huyo yupo bsy dar es salaam na asubuhi hii alikuwa star tv akimwaga propaganda na kupika majungu huku jimboni wanataabika,

Chanzo mimi mwenyewe
 
Mkuu wengine tuna safari ya kwenda Singida, hilo Daraja linaunganisha Ndago na wapi? Ni barabara ya kwenda Mwanza au ni za huko huko Singida?
liko barabara kuu ya dar mwanza kabla ya kufika Iguguno kama umetouka singida
 
nipo iramba jimboni kwa bwana chemba, kuna gari nisani nyeusi imezolewa na maji usiku wa alfajiri hii likiwa na watu watatu , raia mmoja wa kichina(kevin)amekutwa amekufa maji huku abiria wa kike ambae anaitwa Marry(mnyiramba) akiwa hajapatikana hadi sasa

Hayo yakiwa yamejiri jimboni kwa bwana chemba,mbunge huyo yupo bsy dar es salaam na asubuhi hii alikuwa star tv akimwaga propaganda na kupika majungu huku jimboni wanataabika

Chanzo mimi mwenyewe

Hiyo nisani jana niliiona maeneoya kitukutu ikiwa na dereva mchina na dada mmja mnyiramba ilikuwa imesimama njiapanda ya mnada wa kiele tujuze imezolewa wapi
 
nipo iramba jimboni kwa bwana chemba, kuna gari nisani nyeusi imezolewa na maji usiku wa alfajiri hii likiwa na watu watatu , raia mmoja wa kichina(kevin)amekutwa amekufa maji huku abiria wa kike ambae anaitwa Marry(mnyiramba) akiwa hajapatikana hadi sasa

Hayo yakiwa yamejiri jimboni kwa bwana chemba,mbunge huyo yupo bsy dar es salaam na asubuhi hii alikuwa star tv akimwaga propaganda na kupika majungu huku jimboni wanataabika,shenzi type.

Chanzo mimi mwenyewe
sasa hizi yuko anaangalia mkanda mkanda jinsi mtatiro alivyompeka.amekalia umbea tuu kuhusu cdm.
 
Mkuu wengine tuna safari ya kwenda Singida, hilo Daraja linaunganisha Ndago na wapi? Ni barabara ya kwenda Mwanza au ni za huko huko Singida?

daraja lilokatika kwa msaada jamaa aliyeko huko huko ni kwamba eneo ambalo daraja lilovunjika linaitwa msisi, kwa hiyo uwezi kutoka dar kwenda mwanza, huwezi kutoka arusha kwenda mwanza, na sio kwamba mvua ni ya kutisha hiyo ndiyo faida ya kila kazi za ujenzi kupewa wachina
 
nipo iramba jimboni kwa bwana chemba, kuna gari nisani nyeusi imezolewa na maji usiku wa alfajiri hii likiwa na watu watatu , raia mmoja wa kichina(kevin)amekutwa amekufa maji huku abiria wa kike ambae anaitwa Marry(mnyiramba) akiwa hajapatikana hadi sasa

Hayo yakiwa yamejiri jimboni kwa bwana chemba,mbunge huyo yupo bsy dar es salaam na asubuhi hii alikuwa star tv akimwaga propaganda na kupika majungu huku jimboni wanataabika,shenzi type.

Chanzo mimi mwenyewe

Mkuu inatosha tu kuandika na kutoa facts jamvini, conclusions kila mtu na akili zake.
Sioni kama ni akili sana kusema mvua zimetokea usiku huu na Nchemba yuko Star Tv asubuhi hii na bado kwa mategemeo yako Nchemba huyo huyo awe Msisi asubuhi hii.

Akili ni nwele lakini zako pungufu, nafikiri una kipara.
 
nipo iramba jimboni kwa bwana chemba, kuna gari nisani nyeusi imezolewa na maji usiku wa alfajiri hii likiwa na watu watatu , raia mmoja wa kichina(kevin)amekutwa amekufa maji huku abiria wa kike ambae anaitwa Marry(mnyiramba) akiwa hajapatikana hadi sasa

Hayo yakiwa yamejiri jimboni kwa bwana chemba,mbunge huyo yupo bsy dar es salaam na asubuhi hii alikuwa star tv akimwaga propaganda na kupika majungu huku jimboni wanataabika,shenzi type.

Chanzo mimi mwenyewe

Mkuu inatosha tu kuandika na kutoa facts jamvini, conclusions kila mtu na akili zake.
Sioni kama ni akili sana kusema mvua zimetokea usiku huu na Nchemba yuko Star Tv asubuhi hii na bado kwa mategemeo yako Nchemba huyo huyo awe Msisi asubuhi hii.

Akili ni nywele lakini zako pungufu, nafikiri una kipara.
 
niko kwenye mohamed trans naelekea arusha from mwanza...tuko maeneo ya ndago njia ya vumbi kuitafuta singida.
 
Tuwekeeni picha wenzangu wa singida vipi bhana nyie,,tunataka tuone ni kwa kiasi gani daraja limevunjwa na maji. Kamanda Isango hima fanya mambo hapo tupate picha
 
sasa hizi yuko anaangalia mkanda mkanda jinsi mtatiro alivyompeka.amekalia umbea tuu kuhusu cdm.

ulitaka aote usiku kuwa kuna nissan itakombwa na maji huko jimboni kwake?yeye ni naibu katibu mkuu wa chama chake so alikuwa pale kwa niaba ya chama kilichompa nafasi ya kugombea huo ubunge!!!!sio kila kitu tufanye majungu na fitina jamani!!!!swali ni je amepata taarifa ya kilichotokea?
 
Na kwa taarifa sasa hata njia ya ndago kuna msururu mkubwa wa magari nako daraja limekatika kutokana na uzito wa magari DAR ARUSHA MWANZA KWISHINEI HAKUNA MAWASILIANO YA BARABARA NIKO KWENYE MOHAMEDI TRANS NAEMDA DAR
 
Na kwa taarifa sasa hata njia ya ndago kuna msururu mkubwa wa magari nako daraja limekatika kutokana na uzito wa magari DAR ARUSHA MWANZA KWISHINEI HAKUNA MAWASILIANO YA BARABARA NIKO KWENYE MOHAMEDI TRANS NAEMDA DAR

Unaendaje dar wakati daraja limekatika sasa...
Mpigieni chemba ya maji taka awasaidie.
 
nipo iramba jimboni kwa bwana chemba, kuna gari nisani nyeusi imezolewa na maji usiku wa alfajiri hii likiwa na watu watatu , raia mmoja wa kichina(kevin)amekutwa amekufa maji huku abiria wa kike ambae anaitwa marry(mnyiramba) akiwa hajapatikana hadi sasa

hayo yakiwa yamejiri jimboni kwa bwana chemba,mbunge huyo yupo bsy dar es salaam na asubuhi hii alikuwa star tv akimwaga propaganda na kupika majungu huku jimboni wanataabika,shenzi type.

Chanzo mimi mwenyewe

mkuu tujulishe hiyo nisani imesobwa maeneo gani ya iramba
 
Back
Top Bottom