Daraja Msisi Singida lakatika

Daraja Msisi Singida lakatika

Daraja la msisi mkaa limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi mkoani singida.Kufuatia uharibifu huo magari yote yanapita ndago kazi kwako Magufuli

Asante kwa taarifa hii.
 
Unaendaje dar wakati daraja limekatika sasa...
Mpigieni chemba ya maji taka awasaidie.

Limekatika wakati sisi tumesha fika singida ndio maana safari safari yetu inaemdelea na sasa tumekaribia manyoni
 
Na kwa taarifa sasa hata njia ya ndago kuna msururu mkubwa wa magari nako daraja limekatika kutokana na uzito wa magari DAR ARUSHA MWANZA KWISHINEI HAKUNA MAWASILIANO YA BARABARA NIKO KWENYE MOHAMEDI TRANS NAEMDA DAR

Nyinyi mmevukaje? hakuna kivuko?
 
ulitaka aote usiku kuwa kuna nissan itakombwa na maji huko jimboni kwake?yeye ni naibu katibu mkuu wa chama chake so alikuwa pale kwa niaba ya chama kilichompa nafasi ya kugombea huo ubunge!!!!sio kila kitu tufanye majungu na fitina jamani!!!!swali ni je amepata taarifa ya kilichotokea?

Hata ukimtetea haisaidii na wala hakuna fitina hapa kwani huyu mchemba anawajengea waTZ hofu ambayo haipo hata kama ametumwa na Magamba. Huyu CHADEMA inamwasha kama mtu aliyemwagiwa upu-pu ndo maana hawezi fanya kitu kingine ni kujikuna tu.
 
Kazi ya huyu mbunge ni kuvalisha mbwa bendera ya CDM huko jimboni na sii kuangalia maendeleo.
 
wapi magufuli na matambo yake,
Toka barabara hizi zinazojengwa na serikari ya ccm, chini ya wakandarasi 1064 fake wa kichina, madaraja ... yamekwisha haribika na kusababisha hasara kwa peoplez
Magufuli lete takwimu za mifuko ya cement iliyotumika na rushwa iliyotolewa.
 
Mkuu inatosha tu kuandika na kutoa facts jamvini, conclusions kila mtu na akili zake.
Sioni kama ni akili sana kusema mvua zimetokea usiku huu na Nchemba yuko Star Tv asubuhi hii na bado kwa mategemeo yako Nchemba huyo huyo awe Msisi asubuhi hii.

Akili ni nywele lakini zako pungufu, nafikiri una kipara.
Duu naona unatokwa na mapovu meupe mdomoni ukimtetea huyu kilaza Nchemba
 
Back
Top Bottom