Daraja la Somanga limekatika

Daraja la Somanga limekatika

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
7,235
Reaction score
4,342
Wakuu wale wanaosafiri toka Dar kwenda mikoa ya kusini yaani Mtwara na Lindi tunawaombeni mchukue tahadhari kwani daraja maeneo ya Somangafungu limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
1711350990011.png

======
Daraja la Somanga linalounganisha barabara kuu ya kutoka Dar es Salaam na mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara limekatika na kusababisha magari kukwama njiani.

Kwa mujibu wa waliopo eneo hilo, daraja hilo limekatika leo Jumapili Machi 24, 2024 saa 2 usiku na jitihada za kurejesha mawasiliano zinaendelea.
 
mwaka 2006 nakiwa chuo nilipita hapa,hali ilikuwa hivi hivi na madai yakawa Mkapa amemuachia JK amalizie hapo.
kaondoka JK,kaja JPM ,sasa Samia,Somanga bado ni habari ile ile,LEO tarehe 06/04/2025 habari imerudi tena,MAWASILIANO YA DAR NA MTWARA YAMEKATIKA.
 
mwaka 2006 nakiwa chuo nilipita hapa,hali ilikuwa hivi hivi na madai yakawa Mkapa amemuachia JK amalizie hapo.
kaondoka JK,kaja JPM ,sasa Samia,Somanga bado ni habari ile ile,LEO tarehe 06/04/2025 habari imerudi tena,MAWASILIANO YA DAR NA MTWARA YAMEKATIKA.
 
Back
Top Bottom