Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Hivi CHADEMA wanakusanya kodi? Unaelewa maana ya serikali. Na unataka kusema serikali ya ccm inajenga hilo daraja kwa michango wa wana-ccm au kwa kodi za Tanzania? Lakini isikupe shida, vacate magogoni na kwenye mawizara, acha wazee wa kazi waingie, ndani ya siku tisini (90 days) uje hapa JF uulize tena hilo swali.
Kuhusu Moshi, Moshi unaongoza kwa usafi Tanzania nzima, maji bwerere, barabara zinaeleweka. Hapo magogoni mmeshindwa hata kusafisha soko la samaki, Ikulu inanuka shombo kimoja!
Hivi CHADEMA wanakusanya kodi? Unaelewa maana ya serikali. Na unataka kusema serikali ya ccm inajenga hilo daraja kwa michango wa wana-ccm au kwa kodi za Tanzania? Lakini isikupe shida, vacate magogoni na kwenye mawizara, acha wazee wa kazi waingie, ndani ya siku tisini (90 days) uje hapa JF uulize tena hilo swali.
Kuhusu Moshi, Moshi unaongoza kwa usafi Tanzania nzima, maji bwerere, barabara zinaeleweka. Hapo magogoni mmeshindwa hata kusafisha soko la samaki, Ikulu inanuka shombo kimoja!
naungana na wewe kwa asilimia mia!!!
Nimegundua kuwa itv nayo inaipigia kampeni ccm.
Daraja lilitakiwa liwe limejengwa miaka 10, 20, 30, 40, au hata 50 iliyopita. Leo hii mwaka 2012 ndio ccm wanakumbuka wajibu wao?
Mkuu unatoa ahadi za peponi wakati uko Jehanam.Hivi CHADEMA wanakusanya kodi? Unaelewa maana ya serikali. Na unataka kusema serikali ya ccm inajenga hilo daraja kwa michango wa wana-ccm au kwa kodi za Tanzania? Lakini isikupe shida, vacate magogoni na kwenye mawizara, acha wazee wa kazi waingie, ndani ya siku tisini (90 days) uje hapa JF uulize tena hilo swali.
Kuhusu Moshi, Moshi unaongoza kwa usafi Tanzania nzima, maji bwerere, barabara zinaeleweka. Hapo magogoni mmeshindwa hata kusafisha soko la samaki, Ikulu inanuka shombo kimoja!
Miaka 50 hata babu yako hakuwa na baiskeli ya miti,wala hakuwa analipa kodi.Daraja lilitakiwa liwe limejengwa miaka 10, 20, 30, 40, au hata 50 iliyopita. Leo hii mwaka 2012 ndio ccm wanakumbuka wajibu wao?
Better late than never mkuu,na anyefaidika si mwananchi?
Haki Yake JK mpeni tu.
Hivi daraja la kigamboni ujenzi umeanza? maana haya mambo siyo ya kuchekelea kama mwehu na mimi ni mkazi wa Tabora, kuna mikataba mingi yamiaka na miaka, kama ujenzi wa barabara kutoka singida to Tabora, Maji toka Mwanza tunasikia mikataba kila siku, na leo nimemsikia EL akijagamba, eti ardhi imerudishwa hii nikazi ya serikali, kwani walikuwa wameipora hiyo aridhi, so wakiirudisha sikiyu cha kujisifu, na nawapongeza wilotia presha mpaka atleast kusainiwa huo mkataba, ila wasiwapige changa la macho kama sisi wa Tabora
Umesikia daraja linatarajiwa kukamilika baada ya miezi 18 kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa, kwa maana hiyo linatarajiwa kukamilika mwezi october 2013.
Kwa kadri ya uzoefu wa serikali hii kuchelewesha fedha katika miradi inayotekelezwa kwa fedha za ndani, au pale inapotakiwa kuchangia percent fulani, sitoshangaa tukienda kwenye uchaguzi mkuu 2015 likiwa bado.
Bahati nzuri ninamfahamu mwenyekiti wa makampuni hayo ya kizalendo yaliyopewa kazi hiyo bw. Makigo nitamuuliza terms za huo mkataba.
Katika kuonyesha kuwa serikali ya JK inafanya kweli, leo asubuhi serikali imeingia mkataba na makampuni ya ukandarasi ya kizalendo 13 kutekeleza ujenzi wa daraja la Mbutu huko Igunga.
Uwekaji sahihi kati ya Tanroads na wawakilishi wa wakandarasi hao ulishuhudiwa na Naibu Katinbu Mkuu, Injinia Ndunguru.
Naipongeza serikali kwa hili la kusikia kilio cha wazalendo kupata kazi kubwa ambazo zilihodhiwa na wageni.
Na nyie wazalendo sasa mkaze buti.
Pambaf kwani kodi anakusanya yeye ? Hela yote mnatumia kupigia misele na maboeng kwenda nje tuuKama ni rahisi si ungejenga wewe, unangoja nini? na sasa watu au mashirika binafsi ni ruksa kuwekeza kwenye barabara? kimekushinda nini? Unajenga daraja unakula "toll" kwa raha zako.
Ha ha ha!....Hongera Mkuu na wewe kwa kupata mradi.........
Mkuu Maranya ina maana kweli ni Makampuni 13 yameungana na kupewe hiyo tenda? Mbona mengi mno? Kwa jinsi ninavyowajua watanzania sijui kama hawatafarakana kwenye kutekeleza huu mradi.Umesikia daraja linatarajiwa kukamilika baada ya miezi 18 kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa, kwa maana hiyo linatarajiwa kukamilika mwezi october 2013.
Kwa kadri ya uzoefu wa serikali hii kuchelewesha fedha katika miradi inayotekelezwa kwa fedha za ndani, au pale inapotakiwa kuchangia percent fulani, sitoshangaa tukienda kwenye uchaguzi mkuu 2015 likiwa bado.
Bahati nzuri ninamfahamu mwenyekiti wa makampuni hayo ya kizalendo yaliyopewa kazi hiyo bw. Makigo nitamuuliza terms za huo mkataba.
Mkuu Maranya ina maana kweli ni Makampuni 13 yameungana na kupewe hiyo tenda? Mbona mengi mno? Kwa jinsi ninavyowajua watanzania sijui kama hawatafarakana kwenye kutekeleza huu mradi.
Hongera kwa serikali kuuona umuhimu wa kuwapa watanzania kazi za ujenzi ili kuweza kuusaidia uchumi wetu kwa njia ya multiplier effect.
Kwa uamuzi wa kuwapa kazi kampuni ya kizalendo ninawapongeza.
Lakini kwa kuwa waliahidi kulijenga ndani ya siku tisini katika kampeni za igunga na leo ni takribani karibia mwaka tangu ahadi hiyo ilipotolewa, hii ni sinema ya mwisho kwa ajili ya kuelekea kwenye uchaguzi mdogo wa arumeru hapo jumapili. Wamelazimika kurudisha shamba na sasa wamelazimika kusaini mkataba wa ujenzi wa daraja la mbutu.
Mkuu Maranya siyo mimi ninayekuambia kwamba ni makampuni 13 angalia mtoa uzi mesema mangapi na ndio rejea yangu.Mimi nimesikia ni makampuni 10, wewe unaniambia ni 13!
Nitawasiliana na mwenyekiti wao Eng. Steven Makigo ili kujua ukweli wa jambo hili, i mean idadi ya makampuni yaliyoungana kupata tenda hiyo.
La kufarakana ni mapema mno kulisema lakini ni muhimu wakachukua tahadhari ili wasijekuwaharibia wakandarasi wengine wazalendo.