Mbona kama limechukua mda mfupi zaidi au hilo ni la kupitishia vifaa wakati wanajenga daraja lenyewe??
Rules of new bridge by dpu-ucl, on Flickr
New bridge from dock to peninsula under construction by dpu-ucl, on Flickr
Meki and Tim by dpu-ucl, on FlickrSafety helmets must be worn when entering construction site = Helmeti usalama lazima zivaliwe wakati kuingia ujenzi wa tovuti
Haha, sasa mkuu site /website si tovuti? Mbavu zangu
Jamani mmeona hiyo translation hapo kwenye bango?
Hahahahahahahha
Kiasi hao Maimuna wenzangu hapo wasivae helmeti maana hawajaelewa kilichomaanishwa
Tovuti? Tovuti gani?
Wao hawapo kwenye tovuti hapo
KIlichonishangaza kwanini helmet? mara nyingi helmet huvaliwa ikiwa kuna ujenzi wa maghorofa lakini ikiwa kunajengwa daraja unahitaji vifaa zaidi vya usalama kama viatu vya usalama kujiepusha na vyuma, vizibo vya masikioni kuzuia kelele,miwani ikiwa kuna chembechembe za vyuma vinavyokatwa nk.
KIlichonishangaza kwanini helmet? mara nyingi helmet huvaliwa ikiwa kuna ujenzi wa maghorofa lakini ikiwa kunajengwa daraja unahitaji vifaa zaidi vya usalama kama viatu vya usalama kujiepusha na vyuma, vizibo vya masikioni kuzuia kelele,miwani ikiwa kuna chembechembe za vyuma vinavyokatwa nk.
Hongera Serikali ya CCM inajitahidi kutengeneza hilo Daraja.@Annael
huyo leipzig atakuwa chadema,maana hakuna jema walionalo ndani ya serikali.Angalia picha kwa mfano katika post namba 7. Kuna makreni yanayobeba vitu na vinapitishwa vikiwa juu. Kuna uwezekano wa kinachohamishwa kudondoka. Huo ni mfano tu wa kuonyesha umuhimu wa Helmet.
Muhandisi wa Wilaya ya Temeke naye ajiandae kuingia mahabusu kabisa.nauliza tu
nondo za kujengea hazijatoka katika viwanda vilivofungiwa na TBS?
kama zimetoka china zitakuwa feki zaidi pia.
nina mashaka na ubora wa hilo daraja.
Ukiuliza ni shilingi ngapi zimetumika kujenga hilo la muda unaweza kupatwa na kiharusi cha ghafla.mkuu hilo sio daraja serikali inalolijenga bali ni daraja la wachina ambalo litawasaidia kupitisha vifaa kwenda ng'ambo ya pili pindi watakapoanza kujenga. mia