Mbona kama limechukua mda mfupi zaidi au hilo ni la kupitishia vifaa wakati wanajenga daraja lenyewe??
nauliza tu
nondo za kujengea hazijatoka katika viwanda vilivofungiwa na TBS?
kama zimetoka china zitakuwa feki zaidi pia.
nina mashaka na ubora wa hilo daraja.
Hongera Serikali ya CCM inajitahidi kutengeneza hilo Daraja.@Annael
Nimeipenda sana hiyo tafsiri. Mswahili aliyepewa kazi hiyo ya ku tafsiri ni mhandisi aliyekuwa anachukia sana ngwini akidhani ni ukilazaJamani mmeona hiyo translation hapo kwenye bango?
Hahahahahahahha
Kiasi hao Maimuna wenzangu hapo wasivae helmeti maana hawajaelewa kilichomaanishwa
Tovuti? Tovuti gani?
Wao hawapo kwenye tovuti hapo