Daraja la Dr. Dau

Siku nchi hii ikiingia machafukoni huyu mzee atakuwa na mkono wake

Sent from my HUAWEI Y360-U31 using JamiiForums mobile app
 
 
Siku nchi hii ikiingia machafukoni huyu mzee atakuwa na mkono wake

Sent from my HUAWEI Y360-U31 using JamiiForums mobile app
Mazigazi,
Labda nami nikuulize toka lini au umesikia nchi gani imeingia katika vurugu
kwa sababu katokea mwandishi akasahihisha historia ya taifa hilo?

Nchi zinaingia matatani kwa sababu nyingine si kwa kurekebisha historia.
 
Mazigazi,
Labda nami nikuulize toka lini au umesikia nchi gani imeingia katika vurugu
kwa sababu katokea mwandishi akasahihisha historia ya taifa hilo?

Nchi zinaingia matatani kwa sababu nyingine si kwa kurekebisha historia.
Mzee mi binafsi nakuheshimu sana kwa umri wako.

But haya unayoyahubiri yanatutia mashaka vijana Leo Wa Taifa hili tufuku.

Napata wakati mgumu sana nikitafakari juu unachoandika na kukihubiri kama kina malengo mema ya nchii hii .


Tafadhali mzee usijaribu kutupeleka huko unakotaka wewe maana ni dhahiri bila shaka si kwema.

Magumu tunayopitia kama taifa yanatutosha sana hatuhitaji mengine hayo utakayo.

Chonde chonde Lionee huruma Taia hili maskini.

Nashauri ujikite katika mambo yenye tija yatakayotuleta pamoja sisi waTanzania kama taifa badala kujaribu kutubagua kwa historia zako za kibaguzi .

Wako ujenzi Wa Taifa

Mazigazi.

Sent from my HUAWEI Y360-U31 using JamiiForums mobile app
 
Kama Mfaume Diffu ni ndugu wa Dk Dau...basi ninakila sababu ya kuamini familia yao ina maadili mazuri.Mfaume tumekuwa naye hapa ARK miaka ya 69 hadi 80.ni muungwana.
 
Pascal,
Sijui kwa nini unakuja na lugha hizi kuwa mimi nina wafuasi hapa JF.

Kuwa mimi mdini unanionea naweza kuweka hapa ushahidi wa nani
mdini.

Mara nyingi nakupeni rejea hizi lakini hamtaki kuzijadili.

Udini wa Tanzania uliandikwa kwa mara ya kwanza na P van Bergen
mwaka wa 1981.

Kisha akafatia John Sivalon 1992.
Sivalon ndiye aliyeandika maneno mazito sana.

Yeye kaeleza nani mdini katika nchi yetu kwa kutaja majina

Hamza Njozi akahitimisha kwa kuwajadili wote wawili 2002 na serikali
ikakipiga marufuku kitabu chake..

Mimi nikiandika lazima nitasomwa kwa kuwa nimachokiandika huwa
hakijasomeka kwengine popote na ndiyo maana napata ''wafuasi''
ambao ni wasomaji wanaofaidika na elimu ninayotoa.

Ninaweza kukupa mifano lukuki na kwa ushahidi wa nyaraka za utafiti.
Hayo mengine hapana haja wa kujibu kwani hakuna tija itakayopatikana.
 
Ivi gazeti la leo sindio limesema Dau anahisa Newcastle united ya england....na utajiri wa bilion 100.
Bado anasifiwa tena..kwa mbwembwe....kweli...common sense is uncommon pia sometimes
Kagodoro,
Si kila liandikwalo ni kweli.
Tusubiri uchunguzi wa vyombo vya sheria.
 

Msopakyindi,
Nimenyambua sehemu ya jibu kutoka kwa Pasco.
Hebu soma:

''Udini wa Tanzania uliandikwa kwa mara ya kwanza na P van Bergen
mwaka wa 1981.

Kisha akafatia John Sivalon 1992.
Sivalon ndiye aliyeandika maneno mazito sana.

Yeye kaeleza nani mdini katika nchi yetu kwa kutaja majina

Hamza Njozi akahitimisha kwa kuwajadili wote wawili 2002 na serikali
ikakipiga marufuku kitabu chake.''

Ikiwa hujasoma rejea hizi zisome kuna mengi.
 
Mazigazi,
Hilo unalotaka kujinasibisha nalo labda uonekane wewe ni mzalendo si
sawa.

Hujisaidii wewe mweyewe wala hunisaidii mimi wala nchi yetu.
Narejea tena.

Jifunze kwanza ukweli au uongo wa maneno yangu ndipo utakuwa na sauti
ya kuzungumza.

Ikiwa nasema uongo leta uwanjani uongo wangu na kama nasema kweli
tujadili vipi tutaiepusha nchi yetu na hili janga.

Kujifaya wewe ni mzalendo sana haisaidii.
Sisi wazee wetu ndiyo walioikomboa nchi hii kutoka mikono ya ukoloni.

Nikikupa historia ya babu yangu nitakuacha mdomo wazi.

Mikono yake ndiyo ilijenga hiyo ofisi leo unaiona hapo Lumumba tena kwa
kujitolea kila Jumapili.

Kaongoza mgomo wa nchi nzima 1947 kisha tena 1949.
1953 yumo katika kamati ya siri ya kuunda TANU.

1955 kaunda Tanganyika Railways African Union akiwa president.

1960 kaongoza mgomo wa kihistoria wa Relwe uliodumu siku 82.
Yote haya kupinga dhulma.

Jina lake Salum Abdallah.

Haijapata kutokea Afrika nzima mgomo uliodumu kipindi kirefu kama
hicho.

Mgomo unaokaribia ni wa Makhan Singh, Kenya uliodumu siku 62.

Ukitaka kuijua historia hii soma kitabu cha Abdul Sykes uujue ukweli na
uone wapi nchi iliteleza.

Sasa wewe huwezi kuwa na uchungu na nchi hii kunishinda.
Wa kuleta ''chonde chonde'' hapa si wewe na mfano wa wewe.
 
Unarudia kutetea hoja mfu!
Na kama hoja kama hizo zingekuwa na mashiko, basi hata Ramadhani Dau asingeweza kufika alipofika na hata kupewa Taasisi nyeti na kubwa kama NSSF.

Watu wenye mawazo kama yako ndio yanarudisha nyuma umoja na mustakabali wa nchi katika kujenga umoja.
 
Masopakyindi,
Najua uzito wa kusema yale Bergen aliyogundua na akaandika
katika kitabu chake ''Religion and Development in Tanzania.''

Umoja unatanguliwa mbele na haki sawa kwa wote.
 
Masopakyindi,
Najua uzito wa kusema yale Bergen aliyogundua na akaandika
katika kitabu chake ''Religion and Development in Tanzania.''

Umoja unatanguliwa mbele na haki sawa kwa wote.
Tupe mawazo yako juu ya ISIS na anzishwaji wa Caliphate huko Syria na Iraq.
 
Watanzania,
Hivi ni nani aliyewaloga!? Ninyi ambao ukweli ukiwekwa wazi mnatokwa na mapovu bure.

Mnakataa kukubali kazi nzuri iliyofanywa na Dr. Dau kwa sababu ya itikadi? !!
Intergrity, intelligence and patriotism of Dr.Dau I'd unquestionable. Watu kama hawa kwa nchi zingine huwa ni assets kubwa, wanathaminiwa na kuenziwa, nyinyi mnaleta propaganda hapa!!

Wakati mwingine mtu unakuwa na chuki hadi unashindwa kuficha hisia zako..najaribu ku imagine, laity mradi huu wa daraja la Kigamboni ungefeli au kukwama kwa sababu yoyote iwayo, mngekuwa sasa hivi mnasema kitu gani. Nayazingatia maneno yalosemwa na walosema ''ukiijua sababu ajabu huondoka ''
 
Mkuu elewa kinachobishaniwa hapa.
Ubishi si juu ya Dr Dau, mtu ambaye ni msomi na aliyelishawishi shirika lake la NSSF kuwekeza katika hili daraja lililokomboa kero kubwa ya usafiri sehemu ya Kigamboni.

Tatizo hapa ni mtoa mada anaye muelekeza Dr Dau na uislamu na "wazee wa Kariakoo".
Tuna uhakika seriksli haikumtuma Dr Dau kufadhili mradi huo ili kuwaenxi waislamu na "wazee wa Kariakoo".
 
MchukiaUonevu,
Moja ya chuki dhidi ya Dr. Dau ni kuwa alikuwa anawaajiri Waislamu.

Lakini hawasemi kuwa hairuhusiwi kumuajiri Muislam wala hawagusi
kwenye sifa za huyo Muislam.

Ili muradi ni Muislam basi hafai kwani nchi hii ni ya Wakristo hata
kama watajazana katika shirika hakuna wa kuhoji.

Hebu soma hii footnote kutoka mswada ninaoandika kuhusu Prof.

Malima:

[1]Prof. Malima while Minister of Finance was accused of favouring Muslims in his appointments when he recommended Dr. Idris Rashid for the post of Governor of the Central Bank despite of Dr. Idris’s qualifications as a bank director and Ph D holder in Economics. Never had the bank had a governor as qualified as Dr. Idris.

Fananisha yaliyomkuta Prof. Malima na haya sasa ya Dr. Dau.
Hakika ukiijua sababu huondoka ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…