gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
sasa kama takwimu zake ni uongo wananchi siwatampuuza,alafu wamchague atakaeleta takwimu sahihi ya nini kumkamata?sasa kama wagombea wote watakuwa wanasema vitu vilivyo sawa wananchi watatafautishaje?au watachagua kwa kuangalia sura