Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 415
- 1,032
Habari zenu..
Napenda kuleta huu uzi ulio na mapenzi ya dhati juu ya timu yangu pendwa kuliko timu zote duniani DAR YOUNG AFRICANS.
Mahaba yalianza toka nikiwa mtoto mdogo sana, kweli naweza kusema naipenda yanga sana, ni timu iliyojaa historia kubwa sana Africa mashariki na kati,WE GREENS COLOR OF GOD.
Tuna viongozi wenye uweledi mkubwa sana,wenye kupambania masilahi ya timu,mashabiki tuna enjoy.
Kila nikitazama picha iliyojificha naiona YANGA ikiwa timu kubwa Africa itakayo ogopeka na kila timu,inshaallah
Daima nitasimama na wewe tu,iwe kwenye tabu na furaha pia we greens forever.
DAR YOUNG AFRICANS CHAMPIONS CHAMPIONS OF ALL TIMES..
Napenda kuleta huu uzi ulio na mapenzi ya dhati juu ya timu yangu pendwa kuliko timu zote duniani DAR YOUNG AFRICANS.
Mahaba yalianza toka nikiwa mtoto mdogo sana, kweli naweza kusema naipenda yanga sana, ni timu iliyojaa historia kubwa sana Africa mashariki na kati,WE GREENS COLOR OF GOD.
Tuna viongozi wenye uweledi mkubwa sana,wenye kupambania masilahi ya timu,mashabiki tuna enjoy.
Kila nikitazama picha iliyojificha naiona YANGA ikiwa timu kubwa Africa itakayo ogopeka na kila timu,inshaallah
Daima nitasimama na wewe tu,iwe kwenye tabu na furaha pia we greens forever.
DAR YOUNG AFRICANS CHAMPIONS CHAMPIONS OF ALL TIMES..