Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,672
- 218,176
Hii ni taarifa rasmi ya RC wa DSM ndugu Makonda alipokuwa akiongea na waandishi wa habari .
Habari ndio hiyo
Msako Katazo Mazuio Kukanusha Kusifia hizo ndio kazi wanazoziweza sana mpaka wamesahau Viwanda.
Hatari , Fire !Upuuzi MTUPU! Badala ya kufanya mambo muhimu kama kusafisha jiji lililokithiri kwa uchafu au kuboresha miundo mbinu ambayo ni ya hovyo sana yuko busy kukimbizana na walala hoi kwa shilingi elfu 20!!!! Eh! Serikali ya Wanyonge!!!
Kamanda Mambosasa na vijana wake wamejipanga vilivyoSafi sana zoezi hili ni zuri sana kipindi hichi cha uchaguzi wa serikali za mitaa
Nawasihi polisi wawatie virungu hao wamachinga asubuhi, mchana, jioni na usiku labda watapata akili kuwa CCM haina urafiki na mnyonge yoyote.Kamanda Mambosasa na vijana wake wamejipanga vilivyo
Kbsa wawape kipondo cha hajaNawasihi polisi wawatie virungu hao wamachinga asubuhi, mchana, jioni na usiku labda watapata akili kuwa CCM haina urafiki na mnyonge yoyote.
Kama una kitambulisho uza hata barabarani hakuna shidalengo la kitamvulisho lilikua kuwaepusha na mgambo kumbe linawapeka polisi work done = zero
Unajua fgharama za kumtunza Rc wa DSM peke yake,gharama a mafuta za lexus,infinity 2018,bmw x5?mna shida ya yeye kuwahudumia jiji lenu kwa kutumia ubunifu wake halafu hamtaki kugharamika? hela ilipwe tena na DSM waandishi wa habari wanunue hivyo vitambulisho kam ailivyo IringaSheria gani inalazimisha mtu kuwa na hivyo vitambulisho? Kama hana kitambulisho si alipe kodi stahiki tu Makonda ndio maana ananenepa