Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,160
- 11,228
Mhaini alimhainia raisi wako?Write your reply...hili haini lazima linyongwe
Kwani anaogopa?Write your reply...hili haini lazima linyongwe
mawazo kama haya ni ya watu wamfuatao ibilisu tu. huwezi kumuwazia mwenzio mabaya namna hii.Write your reply...hili haini lazima linyongwe
Jipige mara tatu kifuani, jiambie, "mimi ni kichaa mwendawazimu, mfuasi mwaminifu wa shetani"Write your reply...hili haini lazima linyongwe
Umejuaje hayo Boss,Kitu ambacho wengi hawakioni, ni kwamba wahuni wamedhamiria kwa dhati kumnyonga kabisa lissu!...
Wahuni hawaangalii 2025...wanaangalia 20-30! .... wasichokijua...OCTOBER 29 BADO NI MBALI!
Kwenye mahakama ya vimemoUmejuaje hayo Boss,
Best lesson ni kujifunza na kutoshabikia jambo lenye madhila kwa Taifa na mtu binafsi, Sheria zetu siyo katili kiasi cha kuutweza utu na utangamano wetu kama Taifa.
Kwa upekee, Nina matumaini makubwa kuwa haki itatendeka.