Dar Tunasema: Ongea na Home Lowassa Awe Rais

Dar Tunasema: Ongea na Home Lowassa Awe Rais

meca

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2014
Posts
403
Reaction score
201
Wakuu kuna watu wanajiuliza kwanini Lowassa ana rudrud Dar es salaam, ,, Majibu mepesi ni Hapa ndio kuna kura za kutosha kuweka Msingi wa kura za kutosha
Na sie kama wakazi wa Dar a.k.a watu kuja,. Tunaanzisha kampeni inayoenda kwa ujumbe "ONGEA NA HOME LOWASSA AWE RAISI" hii ni kuwataka na kuwaomba wadau wote wa dsm kuwaomba maskani huko tutokapo watusaidie kujazia kura za Eddo hapa
Unachotakiwa kufanya ni rahisi sana kila jioni au ukipata muda Piga simu au Tuma sms home kuwakumbusha kumpigia Lowassa kura kwa msisitizo bila kujali Chama gani
Au vepeeee!Imani yetu ni kuwa watu wa dsm wanamzizi somewhere in TZ
 
Safi sana... Great idea..... Population ya Dar ni 5 millioni people, kwa tafsiri nyepesi kila mtu popote pale alipo ana ndugu yake au rafiki yake Dar....
 
Yaan Nipoteze Muda Wangu Vocha Yangu Kumpigia Kampeni Huyu Edo Kwa Lipi Labda Angekuwa Dr Slaa Sio Huyu Kura Yangu Ni Kwa Magufuli Full Stop
 
Mkuu Sijaiga Hiyo Mbona Ipo Kitambo...Walianzaga Kuitumia Wasanii Chini Ya Steve Nyerere Mwenyekiti Wa Kampeni Hiyo..

Mtahangaika sana lakini mwaka huu ccn kwishney .
TOROKA UJE unasubiri huko ccm?
 
Back
Top Bottom