Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Tanesco imetoa taarifa ya katizo la umeme katika mkoa wa Kinondoni Jumapili ya leo ambapo maeneo zaidi ya 50 huenda yakakosa umeme kwa muda wa takribani masaa 7.
Aidha, Tanesco imewajulisha pia wakazi wa viunga vya Ilala kwamba Jumatatu ya kesho baadhi ya maeneo yatakosa umeme kutokana na marekebisho katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Ilala/Kurasini jijini Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aidha, Tanesco imewajulisha pia wakazi wa viunga vya Ilala kwamba Jumatatu ya kesho baadhi ya maeneo yatakosa umeme kutokana na marekebisho katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Ilala/Kurasini jijini Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app