Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Dah nchi hii POLISI hata wakienda kikosi kizima kupambana askari wa JWTZ tena PRIVATE asiye na silaha wanaweza kufa WOTE

Huu ni kweli mchungu,msiamini mtakacho tangaziwa kuwa kapewa adhabu kali.Ni uongo mkuu hata kama kesi itafika kisutu!
Duuuh,,,,,,,sawa kumbe kama ni hivyo basi mambo sio mabaya huko kwenu TPDF
 
Kozi gani ya miezi 6 tu?
Hiyo ni Kozi au Semina?
Polisi ni wa Tz ni janga....
Hongera Mjeda (JWTZ)....
 
Dah nchi hii POLISI hata wakienda kikosi kizima kupambana askari wa JWTZ tena PRIVATE asiye na silaha wanaweza kufa WOTE.
Na wanabahati mwenzetu hajafa maana tungewafuata palepale FFU-Ukonga tukitumia askari wa AIRWING 603KJ Au Gongo la mboto 511KJ

Na niwaambie ukweli mchungu wanaJF msioelewa haya mambo ya kijeshi kuwa mjeshi anatibiwa na akipona anarudi kuendelea na kazi kama kawaida na pongezi atapewa za kutosha na muda sio mrefu atapanda na cheo.

Huu ni kweli mchungu,msiamini mtakacho tangaziwa kuwa kapewa adhabu kali.Ni uongo mkuu hata kama kesi itafika kisutu!

Tatizo Bongo wapiganaji wengi darasa la saba ujinga wao ni mwingi sana. Huwa nikiona comment za mtindo huu nazidi sikitikia ujinga mwingi uliopo hii nchi.

Tambua tu bila Polisi huyo mwanajeshi hapa hakai kwa amani na vile vile bila mwanajeshi huyo polisi hakai kwa amani hapa.

Jurisdiction ya polisi na mjeshi ni vitu viwili tofauti na muhimu sana kwa hii nchi.
 
Sipendelei amani hapa nchini kuvunjwa kwa hawa askari wa vikosi viwili ambavyo kila kimoja kina majukumu yake na kila mmoja anajivunia majukumu yake lakini mida mwingine kutokana na kauli zao pamoja na uonevu wa polisi huwa nasema ni bora waendelee kupasuliwa tu hadi pale watakapokuwa wanafanya kazi zao kwa haki na usawa.
Nilichojifunza polisi akijua anaemtupia maneno ni mwanajeshi basi huwa anazidisha makusudi ili lengo lake likiwa ni kujichukulia ujiko na yeye aonekane yupo vizuri.
Polisi bila silaha hamna kitu, ndio maana kujihami kwao ni kufyatua risasi ovyo.
 
Risasi zinaendelea kurindima. Ila risasi za siku hizi kwanza zinapigwa bila sababu pili zinalengwa kwa wasiohusika.

RIP Akwilina.
 
Daaaah pole sana mwanajeshi na sijui kwanini hakumnyanganya kabisa ile bunduki na kulenga yule pimbi aliyekuwa amebaki kwenye gari nawachukia sana hawa mbwa wa kaki ***** zao narudia tena pole sana mwanajeshi Mungu akufanyie wepesi upone haraka
Nimecheka sana kwa nini hamuwapendi Polisi???????
 
duuu, hapo ndo ujue kuwa weled ktk jeshi letu la polisi hamna kabisa, pia ata mwanajeshi hakuwa na hekima hata kidogo na anatakiwa kuadhibiwa vikali, haiwezekan umeshapewa tahadhali ya kutoka eneo hilo na unaona kabisa kitu kinachoendelea kwa mjibu wa sheria na kiusalama, halafu ww unadinda eti kisa ww ni mwanajeshi yaan alishindwa kutambua kwamba hapo kuna tukio linalohitaji usalama zaid, na alikosea zaid alipoishika silaha ya afande kama ni kweli, hapa polisi walitakiwa wamkamate kwa nguvu then wampe kichapo cha mbwamwitu ili ajue kuwa kaingia cha kike, askali aliyerusha risasi hakutumia weled wa kazi.
Kuna lugha ya kumwambia mkubwa wako syo kumwamlisha, utajusikiaje we kuamlishwa Na mwanafunzi wako???
 
Sipendelei amani hapa nchini kuvunjwa kwa hawa askari wa vikosi viwili ambavyo ki mwanajeshi basi huwa anazidisha makusudi ili lengo lake likiwa ni kujichukulia ujiko na yeye aonekane yupo vizuri.
Polisi bila silaha hamna kitu, ndio maana kujihami kwao ni kufyatua risasi ovyo.
Kuna vyeo vile vya bure huwa wanapewa kwa kumfanyia ubaya mjeda Mimi nilishakakosa katrafic hapo tazara
 
Kuna vyeo vile vya bure huwa wanapewa kwa kumfanyia ubaya mjeda Mimi nilishakakosa katrafic hapo tazara
Kumbe ndio maana basi ngoja waendelee kufukuza moto sisi raia tuone watakavyokuwa wanapasuliwa, tuje kuchangia kwenye nyuzi
 
Back
Top Bottom