Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,277
- 18,357
Sio lazima uone wewe.Sijawahi ona!
Kama hujawahi kuona polisi inaajiri vijana kutoka jkt basi wewe ni diaspora.
Kuna vitu ukiwa haujui uliza tu, hata mimi nisichokijua hua nauliza
Sio lazima uone wewe.Sijawahi ona!
Daaaah pole sana mwanajeshi na sijui kwanini hakumnyanganya kabisa ile bunduki na kulenga yule pimbi aliyekuwa amebaki kwenye gari nawachukia sana hawa mbwa wa kaki ***** zao narudia tena pole sana mwanajeshi Mungu akufanyie wepesi upone haraka
Namwona kwa mbali mambosasa atakuja na uongo huyoo mwanajeshi alitumwa na chadema.
Wote walikosa busara mwanajeshi atakuwa anajilaumu angetii akendelea na hamsini zake,ATM ziko nyingi,mbona maofisi ya watu tunajibiwa shiti kishenzi unapotezea tu.Marehemu nae ukosefu wa busara ukapelekea kifo chake,ukishamuamuru mtu usikae nae zero distance Kwa mtaalamu wa silaha na mwenye nia ovu anaweza akaidata akakudhuru,Dah....uzuri wa bongo kila MTU mtaalam...tena wa kila kitu...kuanzia utabibu, ulinzi na usalama, uhandisi nk.....unapopewa silaha tena yenye risasi maana yake ukaitumie.....lakini uamuzi wa kifyatua au kutoifyatua unao mwenyewe uliyeishika silaha....
Yes, mapungufu yapo benk, sio kila mtu anaelewa kua wakati pesa zinawekwa kwenye mashine za atm haitakiwi kusogea watu, watakaokua wanazijua hizo ishu ni wale wanaohudhuria mara kwa mara benk, mkulima katoka zake shamba huko tangu alivoweka pesa msimu wa mavuno ndo anakuja kuchukua pesa kwaajili ya kilimo atajua nini?? Kwa hio ushauri wangu kwa mabenki watafute njia mbadala ya kuwaelimisha na kuwaelewesha wateja wao pindi wanapokua kwenye hilo zoezi, ama kwa kuweka uzio au njia nyingine, ona uzembe kama huo umeligarimu taifa.mengi yameandikwa, sijaona benk ikitajwa. utaratibu wa benk kuweka pesa atm una dosari. wateja wangeelekezwa na benk kuondoka na si police, ambao wa ngazi za chini pr yao ni 0-ve.
Na mkulima hata angekaa miaka saba asingeweza mbishia askariYes, mapungufu yapo benk, sio kila mtu anaelewa kua wakati pesa zinawekwa kwenye mashine za atm haitakiwi kusogea watu, watakaokua wanazijua hizo ishu ni wale wanaohudhuria mara kwa mara benk, mkulima katoka zake shamba huko tangu alivoweka pesa msimu wa mavuno ndo anakuja kuchukua pesa kwaajili ya kilimo atajua nini?? Kwa hio ushauri wangu kwa mabenki watafute njia mbadala ya kuwaelimisha na kuwaelewesha wateja wao pindi wanapokua kwenye hilo zoezi, ama kwa kuweka uzio au njia nyingine, ona uzembe kama huo umeligarimu taifa.