candiasis
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 372
- 437
Usitulishe matango pori humu mkuu hakuna upumbavu kama huo katika sheria ulifuatilia pale mahakama ya kusutu kuhusu hyo kesi na mtuhumiwa alienda na nin?Dah nchi hii POLISI hata wakienda kikosi kizima kupambana askari wa JWTZ tena PRIVATE asiye na silaha wanaweza kufa WOTE.
Na wanabahati mwenzetu hajafa maana tungewafuata palepale FFU-Ukonga tukitumia askari wa AIRWING 603KJ Au Gongo la mboto 511KJ
Na niwaambie ukweli mchungu wanaJF msioelewa haya mambo ya kijeshi kuwa mjeshi anatibiwa na akipona anarudi kuendelea na kazi kama kawaida na pongezi atapewa za kutosha na muda sio mrefu atapanda na cheo.
Huu ni kweli mchungu,msiamini mtakacho tangaziwa kuwa kapewa adhabu kali.Ni uongo mkuu!