HahahNilikuwa namalizia risasi zangu sijaenda kuwinda siku nyingi ili nikaongeze risasi mpya, kwani vipi si serikali imepandisha bei ya kulipia umiliki wa silaha, kwahiyo lazima nisafishe mtutu kwa kujaribu mbili harafu unajificha!! Kweli ndo maana watu wa Dar mnaogopa panya road
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafikia hatua ya kuanza kujichinja.Vishindo viwili vya milipuko Kutoka direction za upanga vimesikika.
Nimeogopa sana!!
=======
Breaking News : Ofisi za IMMMA Advocates za wanasheria Fatuma karume na Ishengoma zimewaka moto Alfajiri ya Leo chanzo hakijajulikana
"Tumepata janga kubwa, ofisi yetu imepigwa bomu uharibifu mkubwa Polisi wapo wengi nimefika hapa Upanga tangu saa 9, mtuombee" amesema Fatma Karume
======
From Tundu Lissu:
Good morning dear members.
I believe many of you will have, by now, heard of the bombing of the law offices of Messrs. IMMMA Advocates in Dar early this morning.
While it may be too early to say anything about the perpetrators of this most heinous crime or their motives, it must be clear that it's somehow connected to the work of IMMMA Advocates as lawyers and advocates.
That being the case, the bombing attack must be taken for what it really is: an attack on the freedom and independence of the lawyers and the legal profession.
Whatever the motives and whoever the perpetrators, this is unacceptable and intolerable.
As I said at the last AGM in March of this year, an attack on one member of our Law Society, must be taken as an attack on all members of the Society.
The time has now come to walk our talk. I've, in this regard, called an emergency meeting of the Governing Council to deliberate on this odious attack and propose a course of action to you members.
I ask you all to remain calm but vigilant during this tense moment. We'll appraise you of the deliberations of the Governing Council at the soonest.
I wish you well and please be safe.
Hon. Tundu AM Lissu
President
Haijafikia yenyewe Mkuu,Hivi tz imefikia hapa aiseeee
Sasa tutaanza kuiogopa nchi yetu wenyewe.Haijafikia yenyewe Mkuu,
Bali imefikishwa na Watu
Mi Naishi Sinza lakini Sauti za hiyo Milipuko nilizisikia pia.Hivi kumbe wana JF wengi wanaishi upanga, maana wanavoelezea tukio is like wanaaishi maeneo hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Shida aiseeSasa tutaanza kuiogopa nchi yetu wenyewe.
Masha alishaondoka IMMMA ADVOCATES! wapo kina Magai, Mujuluzi, Fatma, na Ishengoma! Na Partners wengine!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa ni hivyo watu wasingekuwa wanaokotwa kwenye masandarusiHii yote Ni ili Lissu agombee Uraisi 2020!!
Wanatuandaa psychologically kwa kumpa Lissu popularity.
Swali ni kwanini Ccm na Cdm wanashirikiana Lissu agombee 2020?
Je Lissu ni Tiss on a mission as undercover?!!
Wengi hawapendi kujua ukweli huu.. Hembu funguka zaidi bila kuogopa matusi yaoIMMMA Advocates ni mawakili wa Lissu na Acacia Mining kupitia washirika wao wa Uingereza waitwao DLA Piper. Pia Managing Partner wao S. Magai ni mweka hazina wa TLS.
Sent using Jamii Forums mobile app