Breaking News : Ofisi za IMMMA Advocates za wanasheria Fatuma karume na Lawrence Masha zimewaka moto Alfajiri ya Leo chanzo hakijajulikana
View attachment 575154 View attachment 575155 View attachment 575156
Sawa boss tunasubir picha ikiwezekana taarifa kamilOfisi za Mwanasheria Fatma Karume zimeshambuliwa kwa Bomu huko upanga usku wa kuamkia leo Picha zinakuja Baadae.
Nilisikia milipuko miwili usikuMleta mada sema tu ukweli...hazijawaka moto...watu walikuja..wakavamia ofisi...wakaiba nyaraka...halafu wakalipua mabomu. Sasa we jiulize nchi hii ni wakina nani ambao wana mabomu..halafu utapata jibu la nani kavamia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Masha aliondoka Immma siku nyingi na sasa hivi ana Law firm yake inaitwa Gabriel Law Firm.Breaking News : Ofisi za IMMMA Advocates za wanasheria Fatuma karume na Lawrence Masha zimewaka moto Alfajiri ya Leo chanzo hakijajulikana
View attachment 575154 View attachment 575155 View attachment 575156
Taarifa rasmi zitatolewa baadaye na vyombo husika mimi nimeandika ambacho nimesikiaMleta mada sema tu ukweli...hazijawaka moto...watu walikuja..wakavamia ofisi...wakaiba nyaraka...halafu wakalipua mabomu. Sasa we jiulize nchi hii ni wakina nani ambao wana mabomu..halafu utapata jibu la nani kavamia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo mtaa gani mkuu.Huwa napita hapo kila asubuhi kwenye jogging.! Leo nimesema nisikimbie ndo jengo limeungua...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Tanzania hii hakuna amani...kuna utulivu tu. Na utulivu unakikomoHaya yanatokea katika nchi ya ki demokrasia na yenye sifa ya kuwa kisiwa cha amani na utulivu.....
Ambapo kila baada ya miaka 5 panafanyika uchaguzi unaoitwa huru na wa haki kuchagua viongozi......ambapo baadae wanakuwa watawala........
Huwa napita hapo kila asubuhi kwenye jogging.! Leo nimesema nisikimbie ndo jengo limeungua...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo "vyombo husika" haviwezi kutoa taarifa ya ukweli. Hivi sasa kuna uongo unaandaliwa ili tuje tulishwe baadae. Nchi hii tushaifahamu na wala hatushangazwiTaarifa rasmi zitatolewa baadaye na vyombo husika mimi nimeandika ambacho nimesikia
Sensitive docs siku hizi zinafichwa Google drive/Email ndgDocuments za kesi ya kudai billion ndo zimeondoka hivyo. But why uchome ofisi kabisa?