UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,585
- 1,883
Salaam waungwana!?
Well kumekua na hoja nyingi Sana juu ya wakazi wa Dar hasa wanaume kuwa ni wachovu Sana.
Wameenda mbali kiasi kushusha wakazi wengi wa mkoa huo.
Mkoa huu wa Dar umejazwa na wakazi toka mikoa mbali mbali nje ya Dar wakija kutafuta cha ajabu wakipata hawaondoki.
Wanaodai wao ni wa nje ya Dar wengi wao mahitaji korofi katika nyanja za kimaisha wanawategemea wanaume wa Dar zaidi.
Swali langu ni Kwamba Dar kuna kabira gani au kuna wenyeji gani tuwatoe kasoro kuwa hawa wanatatizo hili na hili ili tuwasaidie Japo kimawazo.
Audi ndio Yale ya kuongeza umaarufu na ukomavu wa akili kwa kuhitaji Elimu ya Lazima?
Well kumekua na hoja nyingi Sana juu ya wakazi wa Dar hasa wanaume kuwa ni wachovu Sana.
Wameenda mbali kiasi kushusha wakazi wengi wa mkoa huo.
Mkoa huu wa Dar umejazwa na wakazi toka mikoa mbali mbali nje ya Dar wakija kutafuta cha ajabu wakipata hawaondoki.
Wanaodai wao ni wa nje ya Dar wengi wao mahitaji korofi katika nyanja za kimaisha wanawategemea wanaume wa Dar zaidi.
Swali langu ni Kwamba Dar kuna kabira gani au kuna wenyeji gani tuwatoe kasoro kuwa hawa wanatatizo hili na hili ili tuwasaidie Japo kimawazo.
Audi ndio Yale ya kuongeza umaarufu na ukomavu wa akili kwa kuhitaji Elimu ya Lazima?