Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,175
Kwa sasa kila Chama kinajidhatitiKikao maalumu kwajili ya kupambana na chadema kwenye mikutano ya hadhara.
Mkuu kwani nini kimetokea?Hiki kikao kinaongeza mgawanyiko kati ya;-
Sukuma gang Vs Asali gang
Wabaya hufa Vs Wema hawafi
Viroboto Vs Wahuni.
Yasemekana kuna kundi ndani ya ccm linaunda njama za kumuondoa Samia 2025. Ndiyo maana ccm inakutana kwa dharuraMkuu kwani nini kimetokea?
Dawa yao ni kuwatimua tu hakuna namnaYasemekana kuna kundi ndani ya ccm linaunda njama za kumuondoa Samia 2025. Ndiyo maana ccm inakutana kwa dharura
Rais kazini Chama kazini,View attachment 2480842
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480827
View attachment 2480852
OyeeeeeeCCM Oyeeeeeeeeeee...!
Mbona nyuso hazionekani kwenye hizo picha mkuuNyuso zao zimebeba taswira ya uchovu na kukata tamaa
Mbona nyuso hazionekani kwenye hizo picha mkuu
Para yako ya mwisho wala haina uhusiano na hoja unayotaka kujenga!Yasemekana kuna kundi ndani ya ccm linaunda njama za kumuondoa Samia 2025. Ndiyo maana ccm inakutana kwa dharura
Chimbua sababu za Diwani na Katanga kuondolewa ktk nafasi zao
Toka enzi ya Nyerere na awamu zote zilizofuata zilifanya hivyo.Mkutano wa chama unafanyika ikule tena ?
Jameni haya si ndiyo yale yale ya Magufuli?
NAIPENDA CCM MPAKA NAUMWA,View attachment 2480842
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480827
View attachment 2480852
Kazi na iendelee teamView attachment 2480842
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480827
View attachment 2480852