Dar Mpaka Moro Miaka ya 1950

Dar Mpaka Moro Miaka ya 1950

Quality ya picha hiyo si ya miaka hiyo ya 1950s

Jamaa si ametoa link hapo kuwa hiyo teknolojia imeanzi miaka ya 1940 usiwe mvivu bwana mdogo...huu ni ulimwengu wa habari....na kuna vyanzo vya habari kila kona.....ingia google
 
Ungekuwa ushakufa
Bado upo kwenye zile triple K...Kifo, Kaburi, na Kuzimu...kila siku lazima ufikirie kimojawapo😀😀😀😀 sidhani kama ningekuwa nishavuta, kwani Kingunge hakuwepo miaka hiyo?
 
Bado upo kwenye zile triple K...Kifo, Kaburi, na Kuzimu...kila siku lazima ufikirie kimojawapo😀😀😀😀 sidhani kama ningekuwa nishavuta, kwani Kingunge hakuwepo miaka hiyo?
natamani ungeniona hapa nilipo
 
Hiyo picha yatia mashaka tena mashaka makubwa tu
 
Nikweli ila bila kupatwa na addiction ya jf, bila kushuhudia maamuzi ya Jetcher, bila kupata hasara za kubeti na ningegegeda bila ndom.
Kweli mkuu laifu la sasa linatia hasira
 
Back
Top Bottom