samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,237
Kwanza mlikuwa wa mwisho kimkoa katika kujiandikisha kura za serkali za mitaa mmeona sasa said merk sadiki anavotamba hapo diamond jubilee,hivi mko upande gani wa mabadiliko au nyie ni kujirusha tu na kushabikia mipira,miziki,taarabu.eti nawauliza tena .je hamjui ushindi wa ukawa utatokea kwenu mkiamua,uliza mwaka 1995 ilikuwaje kura za dar zilipovurugwa?mi sipendi hebu BADILIKENI haraka