Na nimekosea faini ni 1 milionHata mi naweza mlipia hiyo
Atàlipa faini kwisha kazi, na maisha yataendeleaSelikar ya kipuuz sana hii kwanini majizo hajafungwa vp kuhusu tid na chid benz vp kuhusu mdogo wake na ester bulaya kwanini hao hawajafungwa mumehangaika na video queen
Masikin wa mungu mdada wa watu hadi namuonea huruma
Pole agnes
Sawa tu kama sheria imefata mkondo wakeInaingia akilini kweli? Miaka 3 au fine ya sh mil1.5? Hivi ni mil15 au mil1.5?
Mkuu ulitaka apigwe faini milioni 15 mkuu (mbona nyingi), lengo la hukumu ni kumfanya mtu yule alietenda kosa kujutia lile kosa lakini pia kuonyesha jamii kwamba kitendo alichokifanya sio kizuri (kimsingi anabaki na kovu maishani mwake lakini pia kwa upande mwingine ataokoa jamii yake ya karibu kwa kuwakataza kufanya makosa aliyopitia yeye)
Mfano unampiga mtu faini milion 200 wakati hata milioni moja hajawahi shika ili iweje kwa mfano
Simunasemaga hawezi shughuli leo kawaje shababi mpaka anyimweHapo si inalipwa fain ....biashara inaisha ...lakin makonda unazengua ...ujuwe ..maana Waliokwenda mahakamani alikuweno na Tid Pamoja na petit money .sasa awo uliwaachiaje ...yaani mahakama za Tanzania nivichekesho tu ...yaani mtu kanyimwa papa sasa hasira anazimalizia kwa mtu mwingine.