Dar kupata huduma ya Internet/Wi-Fi bure

Dodoma itaendelea kuwa Makao makuu ya nchi,Dsm itaendelea kuwa mji mkuu wa vipau mbele vya nchi.
 
hii habari nmeiona BBC sijaona vyombo vya ndani hats vile vya Lumumba vikiripoti .. .. pengine waandishi wa BBC hawakuielewa..
 
At the same time wengine wanawaza malaika washuke ili kuzuia mitandao ya kijamii!
 
Aisee wewe mtoa mada hebu acha kuandika unachofikiria kichwani mwako, toka lini kumetangazwa Dar ni Jimbo na lina kamishina? au ni cheo kingine alichonacho


 
Ttcl iko hoi halafu inatoa vya bure?

Waweke WiFi sehemu zote muhimu lakini iwe ya kulipia have hata kwa gharama ndogo.
 
Wakiweka wifi mimi namtuma malaika akafunge mitandao yote, wifi watabak kuangalia tu[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Kweli walionacho wanazidi kuongezewa,yaani hiyo huduma ya free Internet badala wangeweka kwenye maeneo ya watu masikini kama Manzese,Temeke,Buguruni na Mbagala wanaweka kwa wanojiweza huko Posta.
 
Aisee wewe mtoa mada hebu acha kuandika unachofikiria kichwani mwako, toka lini kumetangazwa Dar ni Jimbo na lina kamishina? au ni cheo kingine alichonacho
kamishina wa mkoa......regional commissioner(RC)
 
Hii habari niliiona BBC...Naona mwandishi wa BBC anasema "Jimbo" badala ya "Mkoa"...Anasema "Kamishna" badala ya "Mkuu wa Mkoa" japo kwa kingereza ni "Regional Cammissioner"!!!
Sasa BBC watunze Kiswahili kwa kujua kwetu "Kamishna wa Mkoa" tamuita "Mkuu wa Mkoa"

Huduma itatolewa na TTCL...Wakati mwingine akitaka Wi-Fi kila mahali,mwingine anatamani malaika wenzake ambao siku moja alisema akifanya kazi vizuri ataenda kuwa Rais wa Malaika waje wazime mitandao Tz.
 
Jamani hizi khabary za interner bure maeneo ya wazi ni za kweli au ndi udaku!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…